Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji2][emoji2]nimejikuta nacheka hakyababa tena..na sauti ilivyoyamkwaruzo sasa[emoji16][emoji16]kama wale wapiga debe wa sinza makumbusho.

Sijambo Daddy…unaendeleaje binafsi
Sijambo aisee. Nimekumisi mpaka naumwa. Kuonekana kwako hapa kwa kusuasua sana yaani. Natumaini kila kitu kiko poa huko kwako [emoji1545]
 
Sijambo aisee. Nimekumisi mpaka naumwa. Kuonekana kwako hapa kwa kusuasua sana yaani. Natumaini kila kitu kiko poa huko kwako [emoji1545]
Usiumwe sasa daddy na wewe..bintiyo ataumwa mara buku ujue😃😃

Nafurahi kusikia hujambo SYB.

Maisha yanamfanya binti kupotea kiaina.
Mungu ni mwema kabisa kila kitu vizuri kabisa…namshukuru.

Easter inakaribia daddy..ni nini umetuandalia wanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…