😀😀😀 time tupo chuo.. walikuwa wanashindana mizigoo.. dah! ninekumbuka hapa nimecheka sanaaa.. nimekumbuka mengi sana leo.. dawa za kutongoza mdada asikatae.. kuna siku jamaa yangu alijichanganya nini akala alitukanwaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Tuombe uzima bageshi. Niliona watoto wa dada wakifanyiwa hiyo procedure (ni ya kukanda tu na mikono)...Madogo wako vizuri sana mpaka leo na bahati mbaya wengine mpaka imewawia vigumu kutulia na mwanamke mmoja