Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
maneno huku kila siku kilio na maumivu yanazidi kuwa makaliii ππManeno tu hayo
Simba bado ipo imara
Baada ya uchungu ni farajamaneno huku kila siku kilio na maumivu yanazidi kuwa makaliii ππ
Kwa maana isiyo rasmi ni kiwingu..acha kutia kiwinguπ€£π€£π€£π€£ nimecheka kikuda
Ukuda huwa nini kwani?
Usiniambie bhanaeeeh! na ukianguka tu imeisha hiyo.. nalala mbele na kombe
Tobo la wana simba πππManeno tu hayo
Simba bado ipo imara
πππtoka ajue kauteka moyo wangu ananinyapaaa huyu kama na ebora π¬π¬
usela unanoga na lugha zake mkiwa kwenye 8 x 7 βΊοΈβΊοΈβΊοΈKwa maana isiyo rasmi ni kiwingu..acha kutia kiwinguπ€£π€£
Pole Ninakuwaga na button ya mwandiko wa kisela π.ninamiandiko miwili huu wa kisela na wa kimama inategemea na mazingira
Unakaza sana legeza kidogoHeaven Sent hakuna kumpa huyuuu... ππππ
hupaki ng'oooo π¬π¬π¬ππππUnakaza sana legeza kidogo
Kinyamausela unanoga na lugha zake mkiwa kwenye 8 x 7 βΊοΈβΊοΈβΊοΈ
Leo mashabiki wa yanga mna furahaTobo la wana simba πππ
View attachment 2096541
Freshπ€£π€£hupaki ng'oooo π¬π¬π¬ππππ
β€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈπ₯°π₯°π₯°ππ
hahaha.wakisela ndio ule wa kitata?Kwa maana isiyo rasmi ni kiwingu..acha kutia kiwinguπ€£π€£
Pole Ninakuwaga na button ya mwandiko wa kisela π.ninamiandiko miwili huu wa kisela na wa kimama inategemea na mazingira
kipara acha fix basiii πππNilipiga goti, kwa Mungu, na dua ikafikaaa, haya maisha yangu na yeye akaridhike....eee
Sijui labda niwaulize ninyi ndugu wasomaji.mnauchukuliaje mwandiko wangu.hahaha.wakisela ndio ule wa kitata?
ile baby #%#_@=$(&+! yes.. kamoooni.. @@%$(&-&?))@.. yes baby πππKinyama
Hahahah kumbe, basi pisi leo imenitilia boonge ya ukudaKwa maana isiyo rasmi ni kiwingu..acha kutia kiwinguπ€£π€£
Sina shaka hili litakua linamkosha sana baba mtumishi mwenzangu huko...Pole Ninakuwaga na button ya mwandiko wa kisela π.ninamiandiko miwili huu wa kisela na wa kimama inategemea na mazingira
nami nasubiri kusoma maoniSijui labda niwaulize ninyi ndugu wasomaji.mnauchukuliaje mwandiko wangu.
Maoni ya watu wote humu nayataka