Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ kwani mie nanyumbani basii.. ndio nitakuwa nimepata nyumbani sasa πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ.
EwaaaaaaaaaaπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ

Ni lin sasa huu uji wa mchele niupike
 
Lini utaselfika tukuone?😁
Nafuta shortly, I prefer to remain anonymous hapa jamvini

________________________________

Hapa ni last weekend nikiwa kwenye shughuli ya chama huko Ileje

Kama unavyoona nimepewa bodyguard maana naupiga mwingi sana.

Bodyguard wangu anaitwa Mwangosi Mwakipesile kutokea kule Mbalizi mjini.

 
😏😏😏😏
 
Eeeh!🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Pep Pep Pep nimekuita mara 3πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Uzuri tuna safari ya Ileje...utawaeleza vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…