kwa wale wanaolijua vizuri jiji la mwanza washajua hii ni view toka kiwanja gani.
hii ni jana mida ya alasiri.
unaweza kutaja jina la kimiminika kinachoonekana kwenye glass?. ukipatia nakuunga kwenye bandle la 2GB la mtandao wowote wa simu unaotumia katika data hapa tanzania.
View attachment 1227989
Kuna watu mtakuja kupigwa mvua 30 kwa kutembea na madenti nyie chezeni tu. Kama huyu ndiyo Depal basi ni wazi kuwa ni denti.
Still that's not a guarantee bebee,sasa sura si haipo?
🙇🙇Saa 9 usiku. Rudi kulala ukue please
HahahahaOhoo usidanganyike na panga butu hilo
Safi Sana
Good morning..
Hello guyzGood morning
Dulimhola ng'wanangwa. Sebha AkujiweMle mhola? Habarini wapendwa