Selfika na JF: Snap it. Show it


Sawa nitaitafuta next weekend nikiwa nimetulia.

Nkamu nitakuorodheshea za usiku, mchana, za Outing ,za kidate
.


Nukia Nkamu..,kunukia kuna raha yake bwana...tena ukiwa nazo nyingi utakaa nazo sana,
 
Sawa nitaitafuta next weekend nikiwa nimetulia.

Nkamu nitakuorodheshea za usiku, mchana, za Outing ,za kidate
.


Nukia Nkamu..,kunukia kuna raha yake bwana...tena ukiwa nazo nyingi utakaa nazo sana,

Ewaaa,
Siku naenda Kwa shemeji yako nanukia kimahaba mahaba.

Wacha tunukie,maisha ndio hayahaya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…