Mkuu kumbukumbu zangu zinaniambia mara ya mwisho kwenye kikao chetu mabaharia tulikubaliana hakuna kumnyima mrembo chochote akiomba ππ
Nyinyi ndo mnaruhusa ya kutunyima lakini usifanye hivyo si vizuri
Kwa muktadha huo usiwe na shaka mkuu
#niwaomberadhimabahariakutoasirizakikao#