Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria. Wagalatia 5:22-23 Kumbe katika dunia kuna mambo hayana sheria. Katika uumbaji wa Mungu kitu kilichokuwa na thamani kuliko vyote ni mwanadamu, vingine vyote...