Selfika na JF: Snap it. Show it

During Kikwete's moment
tumekula bata sana
Mke wangu alikua ni
Heaven Sent Mama ake alikua ni atoto japo nilikua na baba mkwe wengi mno atoto kila siku anasema huyu ndio baba mtoto. Ila yule muuza vifuniko vya utamu nadhani alikua baba mkwe halisi.

Mshenga alikua ni Raimundo na chawa wetu alikua ni Behaviourist mzee wa chura
It was a great experience,

Sasa muda umepita sielewi huyu Jael ndio atoto au Heaven Sent?

Ona leo tunakunywa K-Vant small bottle ya Tsh 4000/= tu!

Raimundo
Behaviourist
 
Haha huwa nasoma threads na comments zenu za zamani, JF ya zamani ilikuwa moto hadi huwa najiuliza sijui nilichelewa wapi kujiunga wakati JF nimeifahamu muda mrefu sana.
 

Mkwe wangu mswahili kuliko wooote

Ukanifanya nikaandaa parking mwisho ikaota majani na kuwa kichaka. Sasa hivi nalima tu mbogamboga.

Heaven Sent ukuje mumeo kafufuka.
 

Mkwe wangu mswahili kuliko wooote

Ukanifanya nikaandaa parking mwisho ikaota majani na kuwa kichaka. Sasa hivi nalima tu mbogamboga.

Heaven Sent ukuje mumeo kafufuka.
Hahah...

Nifuraha sana kukuona
Mkwe ulikua unanichimba
Mikwara sana...

Parking hujaiweka vizuri mara
Unataka muamala usome na
pembeni huko nasikia umeshapokea mahari kwa njemba nyingine kama 3

Vuruguuu tupuuuu...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…