Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha hapo nimemaanisha wakubwa kiuchumi kaka siyo kiumri,, kuna mibaba inashindwa kufaidi vitu kama hivyo sababu ya ubahili na kuna vikaka vinaweza kufaidi vitu kama hivyo sababu ya kumwaga dinero tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijui nipo kwenye kundi gani hapo hahahahahah ngoja nijitafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…