Hahahaha hapo nimemaanisha wakubwa kiuchumi kaka siyo kiumri,, kuna mibaba inashindwa kufaidi vitu kama hivyo sababu ya ubahili na kuna vikaka vinaweza kufaidi vitu kama hivyo sababu ya kumwaga dinero tu..
Hahahaha hapo nimemaanisha wakubwa kiuchumi kaka siyo kiumri,, kuna mibaba inashindwa kufaidi vitu kama hivyo sababu ya ubahili na kuna vikaka vinaweza kufaidi vitu kama hivyo sababu ya kumwaga dinero tu..