Tatizo anaonekana ana dharau,jana nimesoma comment yake moja eti miguu aliyopost scorpio me inazidi picha za wote humu...ni maoni yake lakini yamekosa busara kabisa
hamna raha kama unagombana na mtu alafu unamchora...
Mkuu hapo ndio nimekuelewa yani wewe majibu yako simple sana ... Wanakujibu kwa hasira na kujifariji, ngoja niishie hapa maana nishatukanwa na kugombana na wanawake siwezi
Kwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.
.
Angalieni aina ya uandishi na vi ....
.
Umeona haupati backup yoyote kwa wanaume ukakumbuka una id mbili acha ujipigie assist.
.
Na mimi nimeona picha yako ni bonge la mshamba yani. Upo hovyo hovo haujui hata kuvaa. Umekaa kama mtu wa zamani.
.
Una miaka 20 mbona picha yako inaonekana kama mzee? Kweli ukiwa mjinga unazeeka ingali una umri mdogo.
Kwa sisi wataalamu wa kusoma miandiko tumeshagundua hizi I'd ni mbili lakini zinamilikiwa na mtu mmoja.
.
Angalieni aina ya uandishi na vi ....
.
Umeona haupati backup yoyote kwa wanaume ukakumbuka una id mbili acha ujipigie assist.
.
Na mimi nimeona picha yako ni bonge la mshamba yani. Upo hovyo hovo haujui hata kuvaa. Umekaa kama mtu wa zamani.
.
Una miaka 20 mbona picha yako inaonekana kama mzee? Kweli ukiwa mjinga unazeeka ingali una umri mdogo.