ninayo moja tu,, kama umeweza kuvumilia vitimbwi vya arsenal basi sidhani kama utashindwa kuvumilia vitimbwi vya mkeo.. unaonekana una uvumilivu wa hali ya juu sana ndugu yangu
ninayo moja tu,, kama umeweza kuvumilia vitimbwi vya arsenal basi sidhani kama utashindwa kuvumilia vitimbwi vya mkeo.. unaonekana una uvumilivu wa hali ya juu sana ndugu yangu