Hapana mkuu miguu ya huyo dada ni mizuri sana ata kama sio yeye... ila kama duniani kuna miguu mizuri kama hiyo basi ipewe sifa... Basi kwa upande wangu siwezi kusema uongo ili kuwaridhisha waafrika
Miguu ya huyo dada ni mizuri, ni mizuri sana kuliko picha zote zilizo postiwa hapa kwenye huu uzi
Ni kweli zile picha sio zake..ila ni nzuri na siwezi kuamini kama hawa wengine walio weka picha ni 100% za kwao ....
Kwaiyo bado nasimamia mawazo yangu katika picha zote zilizo wekwa hapa, nimependa miguu ya huyo dada