Nimeona Nimeona. Na neno naked ushalimasta mgeni uko shapu sana!Haya nimepita naked
Dah ccyπSeran enzi za utulivu selfika tulikua tunapita hivi na ilikuwa amani tu!!
Mkuu mbona umewahi sana! Ungesubiri kidogo nilikua nakumendeaNdoaaaa ni baraaka.Mi Banda.View attachment 3651000
HaswaaaSeran enzi za utulivu selfika tulikua tunapita hivi na ilikuwa amani tu!!
Yaniiii ilikuwa raha sana mamchu fanya jambo ili jumapili yangu iwe njema sana dear!!Haswaaa
Muwe na jpili njema!
Nilichambwa eti nawashwa nikaifuta chap nakutuliza mshono mamy!Mbona sijaona jamniπ
Missing you woman of GodπHaswaaa
Muwe na jpili njema!
Na ba mtu au wapitaji tu?πNilichambwa eti nawashwa nikaifuta chap nakutuliza mshono mamy!
Wapitaji wanipate wapii.. bamtu alininanga sina hamuu!Na ba mtu au wapitaji tu?π
Pole sana, leo umblock kidogo tusherehekee weekend yetu bila vikwazo πWapitaji wanipate wapii.. bamtu alininanga sina hamuu!
Smart ndo alinichamba !Tuliyamaliza vizuri siunajua hapa hafurukuti ππππPole sana, leo umblock kidogo tusherehekee weekend yetu bila vikwazo π
Dahh kwahiyo hapa kukuona tena mpaka liniπ uzi utapoaa..Smart ndo alinichamba !Tuliyamaliza vizuri siunajua hapa hafurukuti ππππ
Hapana ile niloiweka ndo haikuwa Sawa ilikuwa inaonesha better days we had at selfika kwamba nawadeiz zama zimebadilika sana ni vurugu vita na kutafutana !Dahh kwahiyo hapa kukuona tena mpaka liniπ uzi utapoaa..
Ooh dahh nikapitwa miee.. mlienjoy sana enzi hizo eeh? Sijui vurugu huwa zinasababishwa na nini na waanzilishi wanafaidikaje na hizo vurugu!Hapana ile niloiweka ndo haikuwa Sawa ilikuwa inaonesha better days we had at selfika kwamba nawadeiz zama zimebadilika sana ni vurugu vita na kutafutana !
Inasikitisha sanaOoh dahh nikapitwa miee.. mlienjoy sana enzi hizo eeh? Sijui vurugu huwa zinasababishwa na nini na waanzilishi wanafaidikaje na hizo vurugu!
Baadae nikituliaYaniiii ilikuwa raha sana mamchu fanya jambo ili jumapili yangu iwe njema sana dear!!
Nakwako pia mamchu have a wonderful and an enjoyable Sunday!!