Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,533
- 18,289
Yaani wamenikera hatariiii, asa kulikua kuna ubaya gani ile si ni soga tu, hivi nani atakua ameuripoti mwanaume au mwanamkeee au woteeee๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃDr. Mariposa uzi wako mods wamepita nao ๐น๐น๐น
Nilijua tu lazima wauripoti tulikuwa tunaenda kuzua taharuki..!!
Mods wangetuacha kidogo mpaka dada yeloo subahi afike kwanza vumbi litimke..!! ๐น
Ule Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika ๐น๐น๐นYaani wamenikera hatariiii, asa kulikua kuna ubaya gani ile si ni soga tu, hivi nani atakua ameuripoti mwanaume au mwanamkeee au woteeee๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Dada Subahi alikuwepo lazima anasoma kimya kimya
Za kuchemsha?
UpiteHahaha
Haya sasa fanya upite kwa mringo
๐ถโโ๏ธ๐ถโโ๏ธHaya sasa fanya upite kwa mringo
Acha zako๐ถโโ๏ธ๐ถโโ๏ธ
Naona na uzi wako pia wamepita nao๐Ule Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika ๐น๐น๐น
Sema dada subahi hakuwepo muda ule labda kama alikuwa na parody..!!
Mods leo sijui wana nini? ๐น๐นNaona na uzi wako pia wamepita nao๐
Leo mods wana hasira kuna harufu ya ban hapa๐
Uzi wa kudindisha labda na wao wamedinda๐Mods leo sijui wana nini? ๐น๐น
Itakuwa kuna mashakunaku wanaripoti sasa uzi una shida gani?
๐น๐น๐น Aloooh..!!Uzi wa kudindisha labda na wao wamedinda๐
naomba namba za dada subahi nimkanyeUle Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika ๐น๐น๐น
Sema dada subahi hakuwepo muda ule labda kama alikuwa na parody..!!
HahahahaUzi wa kudindisha labda na wao wamedinda๐
Kumbe mod wanafuta uzi.. ule uzi ume nipa stim na nishampanga mtoto mie namalizia americano yangu hapa na tangawizi nikaone frog anavyokaa.. ๐ฅด๐ฅด nimesoma comment flani kule lazima leo niifyokoe kama sitoipata tena๐น๐น๐น Aloooh..!!
Em waurudishe hakuna lugha mbaya pale ilipotumika..!!
Mods hawataki ushauri leo, tuwe wapole tu naona ile asubuhi tuliwatibua wengi๐น๐น๐น Aloooh..!!
Em waurudishe hakuna lugha mbaya pale ilipotumika..!!
nywila hadi kuwe na hela, unaweza mpa nywila hewaFrog ๐ธ style,hii ukimpata anajua unamkabidhi nywila