Pombe zikikata utaona lakini inategemea umekunywa aina gani ya kileviView attachment 3604715
tayari nshatoka nipo napunga upepo kidogo pombe zikate niogelee af nile kama ntaweza ndo niingie kitandan niwaze jinsi gan umetuma picha pasina mtu yeyote kuiona mpaka usingizi unipitie inshallah π¬
Home kwenu wapi Iringa?
Kiatu ni kirefu jamani kama Air Tanzania.Huu vipi hapa nilikuwa Forever living nautafuta ubilioneaππView attachment 3604730
itakua, ngoja nifikiche macho pengine ntakuona π³Mbona utadhani na mimi nipo hapo. Ngoja nitoke labda ntakuona π
Pombe kali ila sijanywa sana leo maana nipo ugeniniPombe zikikata utaona lakini inategemea umekunywa aina gani ya kilevi
Well, moja lazima afanane na mwenzie au sio πGirlfriend wangu wa kipindi hichooo miaka ya nyuma huko aliniambia nafanana sana na Denzel.
Nikamshukuru, nikamwambia lakini si kweli kwamba ninafanana na Denzel, Denzel ndiye anafanana na mimi πππ
Please delete attachment ππΎSwadakta
Ndoa hizi hizi zinazovunjika kila siku??π³π«©Noma sana apa soon tunatangaza ndoa π₯
Muda utaongeaTuwekee Shem wambea tushushuke wog πΉ
PoleeYaan naona watu wanasifia tuu, tatizo majukumu nje ya JF.
πππ
Yupo humu mahiπ πMuda utaongea
Ngoja atoe go ahead....
Delete quoted post ππΎNoma sana apa soon tunatangaza ndoa π₯
kuna zingine hazivunjiki wala hazikatiki π₯Ndoa hizi hizi zinazovunjika kila siku??π³π«©
π€£π€£π€£ Kiatu Cha wazee wa fursaKingine hicho kwatooo hiyo kama samaki nchanga.View attachment 3604734
Nakuja Sasa hivi, subiri nije kukuogesha.ukiogelea utachoka πrealMamy njo tuogelee View attachment 3604735
Unyama π₯π₯π₯ ila baada ya kuwa bilionea unanyoosha sana π hongeraHuu vipi hapa nilikuwa Forever living nautafuta ubilioneaππView attachment 3604730
π²π²kuna zingine hazivunjiki wala hazikatiki π₯
Migombani π usifungue sasa hiyo codeHome kwenu wapi Iringa?