Hongera kama ulikuwa na weekend njema.
Kwangu ilikuwa ni kinyume chake, baridi kidogo liniue Kwa upweke Babu yenu 🤗
Nimetafuta nyimbo zetu za Mwaka 47, za kunifariji nimekosa.
Nimeangukia kwenye nyimbo ya Kijana mwenzenu Darassa ft Hamornize inaitwa mazoea.
View attachment 3173670
Nimebaki kuicheza Kwa kuirudia kwenye redio yangu ya Mkulima japo kupunguza mawazo 😜
Hello Tuesday 🥂