Icho kiti si wanachokalia waheshimiwa
Hakika Mkuu, unapata gahawa unashushia na kashata wakati huo pembeni unavuta Kiko yako taratibu hivi π€
Hahahaha...................Hiyo picha nilipiga Mwaka 47 nilipomtembelea rafiki yangu kwenye Ofisi yake π€Icho kiti si wanachokalia waheshimiwa
Shikamoo Babu
Eti kashata laini laini maini rojo rojo πWe mzee na mahanjumant ni kama inspector Haroon babu mzee wa pamba nyepesi
Kila verse mmoja yake utasikia kashata laini laini maini rojo rojo
π€£π€£π€£π€£π€£We mzee na mahanjumant ni kama inspector Haroon babu mzee wa pamba nyepesi
Kila verse mmoja yake utasikia kashata laini laini maini rojo rojo
Juice ya tende tenaππ€£π€£π€£π€£π€£
Naaam,
Ndio maana sikai mbali na Aaliyyah
Mwendo WA kuweka order tuu ya juice ya tende
Miss you NkamuNkamu π₯π₯π₯
Kwa uzee gani ulionao jamani halafu toka nizaliwe sijawahi kukiona kikoπHakika Mkuu, unapata gahawa unashushia na kashata wakati huo pembeni unavuta Kiko yako taratibu hivi π€
Umemtaja Mjukuu wangu Simara umefanya moyo wangu ububujike Kwa huzuni.
Ni miaka mingi tangu aseme anakwenda Mjini kuninunulia Kiko Babu yake
Ukimwona huko Mjini, mwambie Babu yake nimemkumbuka sana π€
Tumekumiss Nkamuπ₯Miss you Nkamu
Fanya utafiti basi uje kutujulisha..Mi sijui wanapikaje huwa kuna kaka ananipikia
Nkamu uliacha?πππyaani wwTumekumiss Nkamuπ₯
Nilivyoona tu I'd yako nikatafuta socks nivaeπ
Hivi naangalia miguu yangu ilivyopauka kama kengeNkamu uliacha?πππyaani ww
Safi saanaKuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Nice
Good
Hata mimiIla me sipendi viatu vyeupe kwa kweli
Nice one