Huu ukurasa upo nao Sumbai, uko vizuri dogoπ€£, ila mimi sio mkubwa...ni mzee sasa. Ila ikitokea nikapata katoto kama Kapeace wala sitavunga, uzee na dawa hata mzee mwenzangu Grahams analitambua hilo
Yan umenitamanisha Leo Nina mood ya mchemsho wa nyama na ndizi π
Hapa nishapita Kwa mzee ananiuziaga ndiz kasema ndio anaenda kuzifata shamba
Stay tune
Nina sura ya upole mdomo ndo mchachuππππ...ila kwa ninaowapenda lazima wanipende na mimi wa kwetu min -me
Yani ephen_ yupo kama ka last born ketu..πππ
Nina sura ya upole mdomo ndo mchachuππππ...ila kwa ninaowapenda lazima wanipende na mimi wa kwetu min -me
Yani ephen_ yupo kama ka last born ketu..πππ
Huu ukurasa upo nao Sumbai, uko vizuri dogoπ€£, ila mimi sio mkubwa...ni mzee sasa. Ila ikitokea nikapata katoto kama Kapeace wala sitavunga, uzee na dawa hata mzee mwenzangu Grahams analitambua hilo
ππππ€£π€£π€£π€£π€£sijawahi cheka hivi huku JF...duuh hapana bana ka familia yani kadogo ketu...ila ningezaa mapema nilipomaliza tuu drs la 7 hivi mfano..basi ningekua nae kama ephen_
ππππ€£π€£π€£π€£π€£sijawahi cheka hivi huku JF...duuh hapana bana ka familia yani kadogo ketu...ila ningezaa mapema drs la sita hivi mfano ningekua nae kama ephen_