Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,101 Sep 23, 2024 #392,981 Bantu Lady said: Lamomy TBT hii. Haikai View attachment 3104763 Click to expand... Odo una balaaa mamaahhh πππ Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani?? kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ
Bantu Lady said: Lamomy TBT hii. Haikai View attachment 3104763 Click to expand... Odo una balaaa mamaahhh πππ Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani?? kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,692 Sep 23, 2024 #392,982 and 100 others said: Am good, nilikua nashangaa tu hio figure namba V8... We kweli bantu lady... Click to expand... Ooh vizuri kusikia hivyo. Selfika basi, na mbona umecheka nilivyokujibu salamu? π
and 100 others said: Am good, nilikua nashangaa tu hio figure namba V8... We kweli bantu lady... Click to expand... Ooh vizuri kusikia hivyo. Selfika basi, na mbona umecheka nilivyokujibu salamu? π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,101 Sep 23, 2024 #392,983 Kapeace said: Ngoja nilale mie kabla kisukari hakijapandaπππ Click to expand... Na mie nikaweke x niangalie πΉπΉ
Kapeace said: Ngoja nilale mie kabla kisukari hakijapandaπππ Click to expand... Na mie nikaweke x niangalie πΉπΉ
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,388 Sep 23, 2024 #392,984 Lamomy said: Odo una balaaa mamaahhh πππ Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani?? kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ Click to expand... Hips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint
Lamomy said: Odo una balaaa mamaahhh πππ Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani?? kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ Click to expand... Hips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,318 Reaction score 72,098 Sep 23, 2024 #392,985 Zulu man said: Hahaha sawa kijana, ngoja na mimi leo nipite . . . Click to expand... you finna post old man?
Zulu man said: Hahaha sawa kijana, ngoja na mimi leo nipite . . . Click to expand... you finna post old man?
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,101 Sep 23, 2024 #392,986 Kapeace said: Hips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint Click to expand... Hips mfarakano hazina ushirikiano πππ Bora wawe flat km mimi basi kwani kuna shido?
Kapeace said: Hips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint Click to expand... Hips mfarakano hazina ushirikiano πππ Bora wawe flat km mimi basi kwani kuna shido?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Sep 23, 2024 #392,987 Lamomy said: Kumekucha ππππ Nkamu nilitaka kuaga naona unanivuta niendelee kukaa πΉ Nani anaforce na kuinamisha camera kwani?? Au coca?? Hebu mtaje kwanza Click to expand... Mimi hapa nkamu Si umeona avatar nimeforce kulaza cameraπ Sena bahareee Kaoge mweee
Lamomy said: Kumekucha ππππ Nkamu nilitaka kuaga naona unanivuta niendelee kukaa πΉ Nani anaforce na kuinamisha camera kwani?? Au coca?? Hebu mtaje kwanza Click to expand... Mimi hapa nkamu Si umeona avatar nimeforce kulaza cameraπ Sena bahareee Kaoge mweee
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,388 Sep 23, 2024 #392,988 Lamomy said: Hips mfarakano hazina ushirikiano πππ Bora wawe flat km mimi basi kwani kuna shido? Click to expand... Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri
Lamomy said: Hips mfarakano hazina ushirikiano πππ Bora wawe flat km mimi basi kwani kuna shido? Click to expand... Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri
Zulu man JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 6,320 Reaction score 16,564 Sep 23, 2024 #392,989 mshamba_hachekwi said: you finna post old man? Click to expand... Whatβs got you feeling lit?
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,101 Sep 23, 2024 #392,990 Saint Anne said: Mimi hapa nkamu Si umeona avatar nimeforce kulaza cameraπ Sena bahareee Kaoge mweee Click to expand... Tunaendelea tulipoishia πππ Nkamu umekula takapela chungu leo π€£ Mbavu zinaniuma mwenzio
Saint Anne said: Mimi hapa nkamu Si umeona avatar nimeforce kulaza cameraπ Sena bahareee Kaoge mweee Click to expand... Tunaendelea tulipoishia πππ Nkamu umekula takapela chungu leo π€£ Mbavu zinaniuma mwenzio
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Sep 23, 2024 #392,991 Lamomy said: Nkamu kuna vayolensi una roast nakuzoom πππ Click to expand... Nkamu macho yako yana darubini? Unaona vayolensi isiyoonekana Wewe ni kiboko Kama bwana wa majeshi Alivyofanya njia pasipo na njiaπ Ila tumeambiwa tusitaje Mungu kwenye ujinga
Lamomy said: Nkamu kuna vayolensi una roast nakuzoom πππ Click to expand... Nkamu macho yako yana darubini? Unaona vayolensi isiyoonekana Wewe ni kiboko Kama bwana wa majeshi Alivyofanya njia pasipo na njiaπ Ila tumeambiwa tusitaje Mungu kwenye ujinga
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,692 Sep 23, 2024 #392,992 Lamomy said: Odo una balaaa mamaahhh πππ Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani?? kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ Click to expand... Lakini Odo jamani Odo mweeh π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kaone kwanza karembo haka. Nataka mwili kama wako, nitajipunguza mpakaaa
Lamomy said: Odo una balaaa mamaahhh πππ Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani?? kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ Click to expand... Lakini Odo jamani Odo mweeh π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kaone kwanza karembo haka. Nataka mwili kama wako, nitajipunguza mpakaaa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Sep 23, 2024 #392,993 Lamomy said: Tunaendelea tulipoishia πππ Nkamu umekula takapela chungu leo π€£ Mbavu zinaniuma mwenzio Click to expand... Ndio nataka kula hapa Nimgawie na Bantu ledi Akila na matakapela mwe mwee namba moja yetu anaenda kuinyakua mazima Haikubaliki.
Lamomy said: Tunaendelea tulipoishia πππ Nkamu umekula takapela chungu leo π€£ Mbavu zinaniuma mwenzio Click to expand... Ndio nataka kula hapa Nimgawie na Bantu ledi Akila na matakapela mwe mwee namba moja yetu anaenda kuinyakua mazima Haikubaliki.
and 100 others JF-Expert Member Joined Feb 3, 2023 Posts 4,515 Reaction score 14,979 Sep 23, 2024 #392,994 Bantu Lady said: Ooh vizuri kusikia hivyo. Selfika basi, na mbona umecheka nilivyokujibu salamu? π Click to expand... Nilikuuliza 'dada habari?' kama kutoa appreciation na kukubali neema za Allah, ukanijibu kama nimekusalimu ukaongeza na habari za siku... Thats why nilicheka π
Bantu Lady said: Ooh vizuri kusikia hivyo. Selfika basi, na mbona umecheka nilivyokujibu salamu? π Click to expand... Nilikuuliza 'dada habari?' kama kutoa appreciation na kukubali neema za Allah, ukanijibu kama nimekusalimu ukaongeza na habari za siku... Thats why nilicheka π
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Sep 23, 2024 #392,995 Kapeace said: Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri Click to expand... Weka tu mwaya Unaweza kuichukua namba 2 Mnazidi tu kutushusha chini dadekiππ₯π₯π₯
Kapeace said: Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri Click to expand... Weka tu mwaya Unaweza kuichukua namba 2 Mnazidi tu kutushusha chini dadekiππ₯π₯π₯
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 9,871 Reaction score 32,692 Sep 23, 2024 #392,996 Kapeace said: Hips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint Click to expand... Nitakuchapa unajua π π π π za upande upande. Mtakatifu Anne naye ana maneno kama Odo wangu. Utasema mapacha, wanachekesha balaa
Kapeace said: Hips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint Click to expand... Nitakuchapa unajua π π π π za upande upande. Mtakatifu Anne naye ana maneno kama Odo wangu. Utasema mapacha, wanachekesha balaa
Zulu man JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 6,320 Reaction score 16,564 Sep 23, 2024 #392,997 Mwachiluwi said: huyu hapa Click to expand... Safi kabisa, inapendeza kijana but haka ni katoto mbona? 30 years itakuhusu
Mwachiluwi said: huyu hapa Click to expand... Safi kabisa, inapendeza kijana but haka ni katoto mbona? 30 years itakuhusu
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,318 Reaction score 72,098 Sep 23, 2024 #392,998 Zulu man said: Whatβs got you feeling lit? Click to expand... Let's see that 'whole recipe' you said you got.
Zulu man said: Whatβs got you feeling lit? Click to expand... Let's see that 'whole recipe' you said you got.
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,101 Sep 23, 2024 #392,999 Kapeace said: Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri Click to expand... Mahi weka kuna wengine wanapenda vihips vya βplease call meβ πππ Huyo bl hips zake za bundle la mwaka βTandamβ hilo lina watu wake..!! Km kina kikiboxer Hizo zako za wastaafu slow motion km bata wanafoka ah ah ah π€£π€£π€£
Kapeace said: Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri Click to expand... Mahi weka kuna wengine wanapenda vihips vya βplease call meβ πππ Huyo bl hips zake za bundle la mwaka βTandamβ hilo lina watu wake..!! Km kina kikiboxer Hizo zako za wastaafu slow motion km bata wanafoka ah ah ah π€£π€£π€£
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,318 Reaction score 72,098 Sep 23, 2024 #393,000 Mwachiluwi said: huyu hapa Click to expand... ulivyo mwepesi hivyo unahangaika na mapenzi? haya