Selfika na JF: Snap it. Show it

Kalipe Hela za watu ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hiv Hao sungusungu wanwekwa na serikali ya Kijiji au mtaa unaweza kuamua kuajiri sungusungu wao
Maana wez wamenichungulia juzi Dah๐Ÿ˜€
Mi hata sielewi hawa wanapatikanaje na hata usiku ukipita huwaoni, hawa hela yao siwalipi shenzi type sana kipindi nipo chuo tulipelekwa kituo Cha police shekilango nikalipa 50k ya fine kisa sijalipa miezi miwili
 
Mi hata sielewi hawa wanapatikanaje na hata usiku ukipita huwaoni, hawa hela yao siwalipi shenzi type sana kipindi nipo chuo tulipelekwa kituo Cha police shekilango nikalipa 50k ya fine kisa sijalipa miezi miwili
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Wewe mkorofi kumbe
Sis hapa tuko wawili mwenzangu Kila wakipita wa taka hayupo nalipia tu na kununua viroba Kila wakat ngoja niwe km wew ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Subir yakukute ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mi nlikuwa siwezi kuonekana labda jumapili mchana tu wakalia timing nlipewa barua ya mtendaji nlienda kusomea police tulisombwa wanachuo hadi thread zilifunguliwa humu
Hatar sana kwakweli sehemu naziogopa ni polis Kuna rafikyngu aliibiwa nikamsindikiza wee nilitetemeka hayo maelezo Sasa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Hatar sana kwakweli sehemu naziogopa ni polis Kuna rafikyngu aliibiwa nikamsindikiza wee nilitetemeka hayo maelezo Sasa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hivi wadada wanawekwaga lockup? Sijawahi ona nyie mnahojiwa kidogo tu mnasepa!

Mwanzon wa mwaka huu nliingia lockup kama masaaa manne๐Ÿ˜‚yaan mpaka natoka nlikuwa siamini kama ni mimi ndo nlikuwa mule.....nlichekwa
 
Hivi wadada wanawekwaga lockup? Sijawahi ona nyie mnahojiwa kidogo tu mnasepa!

Mwanzon wa mwaka huu nliingia lockup kama masaaa manne๐Ÿ˜‚yaan mpaka natoka nlikuwa siamini kama ni mimi ndo nlikuwa mule.....nlichekwa
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Pole sana
Wadada wanawekwa mbona inategemea na kosa
Ulikutana na wabishi wenzio๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ