πΆπΆπΆ embe parachichi
Ndo utamu wa penzilako
Na kwangu hauachiki .
Wataniua sitoki kwako β€οΈ
Nishakuvisha taji
Bingwa wa kaziyako unaipatiaπ
Na napokosa wew ndo jaji
Nifunge hata maisha nitakutumikia
Mambo pekeji pekeji ,Twajisosomola
penzi si lakienyeji
viwango vya Dola
wanaotuma vimeseji,mnataka kunipora
ananionyesha bby jueni nawachora
ooh ooh
et nikikuona aah
naona Raha mbonaπΆ