Ndio maana hunenepi, unapelekaje maisha ya dar huko uliko?Late dinner
Karibuni tukule
Ndio maana hunenepi, unapelekaje maisha ya dar huko uliko?
Ngoja upite ppf tower ndio utajua faida ya uneneπSiyo lazima wote tunenepeπππ
Ndio wapi huko?Ngoja upite ppf tower ndio utajua faida ya uneneπ
Kishua π₯π₯π₯
Pale mwanjelwa unashuka na ile barabara ya vumbiπNdio wapi huko?
Nitaftie huyo mtoto wa shangaz ukimuona na umpeleke kando kidogo na umwambie nmem miss ile kisanaWewe
Cuzo kitu cha maruni
Jamani valentine inakuja kivingine
B@cocastic umemuona cuzoπ₯π₯
ππππ Hadi ww umemkubali??Sisi tushamkubali
Uduguu una mbwembwe khaaa!! πππHapana kwanza hata nilikua na hao marafiki sasaπ€ π€ π€ π€ !
Mi nilikua najuana na Smart911 tu sikuwaga na hizo hobby za friends kabisa
Coca si angemsaidia shemeji kumpiga picha, huumii huo mkono huku unaweka pozi?? π€£π€£π€£
Umebaki menyewe jeshi la mtu mmojaπππππ Hadi ww umemkubali??
Kwahiyo peke yangu ndo mwenye gubu??
Wacha wee CuzoNitaftie huyo mtoto wa shangaz ukimuona na umpeleke kando kidogo na umwambie nmem miss ile kisana
πππ Na nitahakikisha hamnishindi Tayana haolewi na yule mwanaume nawaambiaUmebaki menyewe jeshi la mtu mmojaπ
Mm siyo wakishuaCoca si angemsaidia shemeji kumpiga picha, huumii huo mkono huku unaweka pozi?? π€£π€£π€£
Kwahiyo hata kumuita mpita njia akusaidie ulishindwa shem? πMm siyo wakishua
πππ Na nitahakikisha hamnishindi Tayana haolewi na yule mwanaume nawaambia
Hold on...........!