Babu kiko umepata, sasa kwakuwa mi niko busy mtume yule bibi mdogo mweusi mwenye miguu minene aje akuchukulie kkoo π€£π€£π€£π€£Bila hizi hadithi za Sungura na Fisi mngenikuta Babu yenu nimeshajifia Kwa stress π€
Si mnajua tuna miezi 3 hatujapata pension zetu Wazee π
Kwanza fanya unitumie Kiko zangu nilizokuagiza, maana si Kwa arosto hili Mjukuu π€
Bibi mdogo yupi Mjukuuπ«£?Babu kiko umepata, sasa kwakuwa mi niko busy mtume yule bibi mdogo mweusi mwenye miguu minene aje akuchukulie kkoo π€£π€£π€£π€£
Tatizo babu una masuria mengi na wewe π€£π€£π€£π€£Bibi mdogo yupi Mjukuuπ«£?
Hivi Mjukuu unataka Babu yako niachike Kwa Bibi yako kwenye Umri huu wa Uzee π ?
Kuweni na huruma na Wazee π€
Bibi yenu mwenyewe ananitoa Jasho, ndiyo iwe hao Masaria πTatizo babu una masuria mengi na wewe π€£π€£π€£π€£
Bibi L humjui??πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
π€£π€£π€£ Yani babu unanichekeshaga unavyowakana kina bibi wadogo (masuria)Bibi yenu mwenyewe ananitoa Jasho, ndiyo iwe hao Masaria π
Kuweni na huruma na Wazee π€
Mwambie anayekuhudumia wine hapo aache, mwambie leo imetosha π€π€£π€£π€£ Yani babu unanichekeshaga unavyowakana kina bibi wadogo (masuria)
Babu umesahau ulivyonituma nimpelekee pesa ya saloon bibi M π€
Babu aache vipi na ndo kumekucha π€£π€£π€£Mwambie anayekuhudumia wine hapo aache, mwambie leo imetosha π€
Imeanza mapema hivyo.....Babu aache vipi na ndo kumekucha π€£π€£π€£
Week end imeanza babu
Uongo π€£π€£π€£Hiyo ni picha ya Mwaka 1979 Mjukuu, almost miaka 45 sasa imepita π
Limeisha babu mtume bibi akufatie πImeanza mapema hivyo.....
Hebu nitumie na Mimi John Walker yangu nimwagilie moyo π»π€
Hapo kwenye Bibi hapo wacha nikae kimya, maana huchelewi kutaja jina la Bibi yako wa kule Nairobi wakati huu Wine imeshakupanda kichwani πLimeisha babu mtume bibi akufatie π
Kuna app natumia kuzimodifai picha za kale zionekane mpya mpyaUongo π€£π€£π€£
Mbona mababu wenzio hawatupii picha.??
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Bibi wa Nakei, Mombasa au Nakuru??Hapo kwenye Bibi hapo wacha nikae kimya, maana huchelewi kutaja jina la Bibi yako wa kule Nairobi wakati huu Wine imeshakupanda kichwani π
Bora uniletee mwenyewe tu π
Iweke babu tuone πKuna app natumia kuzimodifai picha za kale zionekane mpya mpya
Kuna picha Moja nilipiga Mwaka 1961 na Gavana Richard Turnbull wa Tanganyika miaka ile.
Siku nikifurahi nitaiweka humu π
HahahahKuna app natumia kuzimodifai picha za kale zionekane mpya mpya
Kuna picha Moja nilipiga Mwaka 1961 na Gavana Richard Turnbull wa Tanganyika miaka ile.
Siku nikifurahi nitaiweka humu π
Hawa Wajukuu hawataki kuamini Mzee wao nilivyokula chumvi nyingi πHahahah