Selfika na JF: Snap it. Show it

Bubu leo kaongea🙌🙌🙌
 
Usijali
Humu Kuna wastaarabu,
Kuna washenzi ,Kuna wanafki km mtaani tu....
Cha mhimu be u,wala hakuna wa kukufanya Chochote na hivi hatujuani
Fresh yaani .
Kabisa mamy kuna watu ni wastaarabi sana humu ila unakuta mtu na mawivu yake anaenda kumjazaaaa manenoo but they react vizuri byu hawa wengine ambao mafriji yao hayaganfishi ndio wachawi wenyewe!!!
 
Hebu Acheni kutusiana Wanawake.
👉Hapa mna dharirisha utu wenu, shida ni mabwana tu???
👉Au Kuna tenda ya ujenzi nli gombania mka kosa🤒🤔
 
Bubu leo kaongea🙌🙌🙌
Humu ni hora uwe ma marafiki wa kiumee mama Nai nao uangaliiee sio akili za kina Bongeee na mwenzieee!! Humu kuna watu wastaarabu sanaa you talk you chat you laugh na mengine kibaoo kama Ndugu yanii mnafanya mambo mengi sana! Kutana na Hawa kreziest sasa wanaume kama mabinti 🙌🙌🙌🙌!!
 
Dah sikujua Kama una niitaga bonge🤔, ok ime kusaidia nini, 🤣🤣🤒
 
Hebu Acheni kutusiana Wanawake.
👉Hapa mna dharirisha utu wenu, shida ni mabwana tu???
👉Au Kuna tenda ya ujenzi nli gombania mka kosa🤒🤔
Trenaaaaa wakomeee kuniita shangazi sijazaliwa tumbo moja na baba zao Hivi wanajua mashangazi yalivo???? Mie najizima data tu humu ninavojiita shangazi ukiweka sura zetu kibaooo tu wanaonekana wazee kabisa achilia ushangazi !

Wanajifanya wakareee wazuri classic mbwaakoko tuuu hiki kitambi cha uzazi wasenggge nyieeeee mtaishia kutoa mimba na kutupa vitoto chooni mazafantazzzz!!!
 
Eti Wana yajua mashangazi yalivyo😂😁🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…