Selfika na JF: Snap it. Show it

Na hata zile siisiii mie ndie niliezistopishaaa katuuu sijawahi gombaniaa mwanaume mimiiii niliwaachia vizuri tyuuuu bwanaenuuu mwenyewe kutwaaa kunisumbua sijui mlikua hammnogeshiii??? Mlikwama wapi kwanii vigoriiii wabichi wachanga watekeee wazuriiii mpaka bwana kunisumbua eksi???? Au ndio wanawake wa kaska hamjuagi Mapenzi mnachojua ubabe tu??? Nini mbayaaa???

Tennaaa nyiee kumaaaa mnaosambaza eti niliachwaaa mpoooo???? I was the one nilieacha na kukataaa tagss katu siwezi endekeza ujingaaa yani mwanaume atupange wazi afu nimchekeee heeeeeeeeeeeeeeellll NO!!
Huyo sio Antonnia aseee najiamini katu siyumbishwii na sitetemekei mboroooo hata mwanaume awe milioneaaaaa vipii sipendi usengeeeeπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ!!
 
Lazima atumie nguvu kubwa halafu we ndie maar hii kataa ila ukweli unajuaπŸƒπŸΏβ€β™€οΈπŸƒπŸΏβ€β™€οΈπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
Ila si ana semaga, asha fungwa pinguπŸ˜‚πŸ€£.
πŸ‘‰Au ndo kufurahisha gengeπŸ€£πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…