Selfika na JF: Snap it. Show it

kuna uzi m1 waliwahi mtaja, kuwa alimtongoza fudengee, kheee si akapotea jukwaani week, baadae akabadili names, kakaa ndo akarudisha hili.

nani hamjui km papaiiii? Alijitongozeshaaa kwa jamaa hata kujibiwa text nehii, kutwa anauliza "wee Fulani anakujibu text? Mie mbna hajibu"


Km uongoo muhusika aje akataee, hata kwa I'd ingine km anayoo, mie nimekaa palee.
 
uduguuu niwacheee, JF inabeba mengii wallah. Tunawastahiii tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…