Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,490
- 96,959
IAM serious, Niko njeeeπ€wadada wa JF nime πππ... wana ma bifu.. ukiangalia kiini chake hakieleweki.. mie napenda watu wapendane.. sijawai gombana na mtu JF hata nikimkosea huwa naomba msahama.. acha nile vitu mzee
haha National Anthem hua anajua jinsi inavyokua.Au ulilewa ukasema bill zote, zije kwakoπ€£πππ
ila wadada ndio mlivyo aise.. nashukuru Mungu siwezi mchukia mtu, au kuwa na wivu na mtu au kugombana na mtu.. nashangaa wengine wanawezaje.. π π π .. ila umaskini nao huchangia makasiriko na uchawi wa bila tunguliYani ni maajabu kwakweli
Pacha hivyo vidole, Kama mikasi ya operation ππ€Jiangalie wewe me nipo sana bwana nitakuachia nikimchokaView attachment 2722008
πππ sawa kaka mm sitii neniHakuna mtu nime wahi mtongoza humu JF zaidi ya utani tu.. kama yupo anitukane au ajitokeze na ushahidi.. humu naishia utani mkuu.. siwezi tongoza ID mie π π
ndio nimekiona hapaaa kirangiii flani πππ.. rangi yako na wife kama twinNina kipensi
Hahaha Wivu na vivuli.Watu wa humu Wana wivu sana aisee sijawah kuona
Wengine tuna njaa ndio lakini tushazoea kuongea nawatu vizuri sio hapa tu hata ukija makwetu tuko vizuri nawatu tunataniana lakini haya ya humu makubwasana ifike mahali wajitambue tu sio uungwanaNoumaaa sana yanii!
More love less ego ππππwadada wa JF nime πππ... wana ma bifu.. ukiangalia kiini chake hakieleweki.. mie napenda watu wapendane.. sijawai gombana na mtu JF hata nikimkosea huwa naomba msahama.. acha nile vitu mzee
vijana wale traininga hawaaa π π πhaha National Anthem hua anajua jinsi inavyokua.
Huwa nabakishiwa hela ya mwendokasi tu! Yakunifikisha picha ya ndege.
Mie nawapenda wote humu alafu nawaheshimu wote.. napokosea naomba msahama.. alafu ni mtu wa watuu yaani.. sijui magomvi wala machuki π πMore love less ego ππππ
Kalaze fuvu lako namba aπππ€£π€£πAntonnia hajiaminii mbona wao wamefyanta saii na wengine wanaleta unafiki tyuuu !!Wanasubiria tukishatoka hapa ndio utawaona bwahahahahahahahahah!!!!
Usiku mwema kwamara nyingine wapendwaaa!!
Nimeishia komenti ya 367768 nikiingia tena mnikumbushe nilipoishiaπππππ!
Utakuja kuuza Hadi kwakoπππhaha National Anthem hua anajua jinsi inavyokua.
Huwa nabakishiwa hela ya mwendokasi tu! Yakunifikisha picha ya ndege.
π π π hawatoi mambo yangu, sasa mambo ya kazi bure mie ya nini banaaπππ sawa kaka mm sitii neni
Ingia pm nikurushie bomuπ π π hawatoi mambo yangu, sasa mambo ya kazi bure mie ya nini banaa
Naomba mualiko ππView attachment 2722016Haya sasa,tukule kwanza
Sasa mbona una nichukuliaje Dem wangu To yeye πππ€£Mie nawapenda wote humu alafu nawaheshimu wote.. napokosea naomba msahama.. alafu ni mtu wa watuu yaani.. sijui magomvi wala machuki π π
Pacha hivyo vidole, Kama mikasi ya operation