Selfika na JF: Snap it. Show it

Mag sent boss wangubsijakuxiea ivyo kabisa na kuchamba uwezi bora uache akikujibu nitalua mimi kwaniaba yako
 
Nitazichukua sana na hamna kitu wanaweza nifanya, afu shem nikiongea mara moja tu nakuta mivocha ya pesa yote sio hizi za jero gombania goli mpk watoe macho km wanasoma ongezeko la mshahara
Hahahaaa..

Wapi Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈ
Ongeza sautiiiii pulllllllliiiiiiiiizzzzz 🀣 Huwa Unasemaaaa??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜!!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Walete
 
Nitazichukua sana na hamna kitu wanaweza nifanya, afu shem nikiongea mara moja tu nakuta mivocha ya pesa yote sio hizi za jero gombania goli mpk watoe macho km wanasoma ongezeko la mshahara
Hiv kwaza hazi yako sio vocha unajua af huyo Mjep kama anakuonga vocha pekee bas bado anajitafuta ajajipata mwambie atume mihamara mikubwa uselfkie nayo hapo ili wakujinyonga ajinyonge wakunywa sumu anywe tujue tumepoteza ndugu wangapi kwa wivu au unasemaje National Anthem mshamba_hachekwi Intelligent businessman
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…hiyo chuma ya country ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.. ina boobs flani hivi.. ukitazama umeisha
 
Hahahaaa..

Wapi Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈπŸ—£οΈ
Ongeza sautiiiii pulllllllliiiiiiiiizzzzz 🀣 Huwa Unasemaaaa??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜!!
Nishushie mmoja Basi kwanza
 
kila nikipta near sheki road Kama Kuna sumaku hivi inanivuta.

Ndiomana napenda kujikalia zangu kibaha tu. Mjini fujo Ni nyingi sana
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… pale napaogopa ukipaki gari inaonekana, kuna siku ilinileta shida.. sijui nani alipita mzee.. nikashangaa simu.. samaki samaki napapenda kwasababu hakuna ukuda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…