Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Wewe jau nimetoka hapo mda sio mrefuMuhuni alie samaki samaki hapaa.. tujumuike kula vitu vizuri.. leo nina mademu wakaleee wawilii... π π π
Mwachiluwi
mtu chake
Intelligent businessman π π π .. unachimba chima na kijana mshamba_hachekwi
Vocha za Mjep ni za woteπ€£π€£π€£
Shangaaa nawewe aseee!!Vocha za Mjep ni za woteπ€£π€£π€£
Mag sent boss wangubsijakuxiea ivyo kabisa na kuchamba uwezi bora uache akikujibu nitalua mimi kwaniaba yakoMtoto wa kike una kichwa km viatu vya tandale vya 400 wanavyomwaga saa 10, shingo ndefu mbaya km ngamia aliyekatishwa kunyonyeshwa afu nyoko nyoko piem kwa wanaume!!!! Mfyuuu unajichora kifupi hakuelewi wewe sio vitu vyake acha kuoga maji ya vidimbwi wanakoishi vyura
Wanaoumia itakuwa wana matatizo ya akiliπ€£π€£π€£Shangaaa nawewe aseee!!
Hahahaaa..Nitazichukua sana na hamna kitu wanaweza nifanya, afu shem nikiongea mara moja tu nakuta mivocha ya pesa yote sio hizi za jero gombania goli mpk watoe macho km wanasoma ongezeko la mshahara
π π π kwa mawazo.. .. leo nina mzuka na mambo flani mzee.. mama kabaki home.. nina kazi mpyaaa..Njoo tucheki gemu hapa
Ila Kama upo na mama la mama sikushauri.
Siwez kuacha mademu labda nikatwe duduπ π π ...ukiona mwenye upaa kama huu ndio mimi.. nina mademu wazuri kinomaaa .. njoo nkupe mmokoView attachment 2721994
mshamba_hachekwi umeona kichwa cha Computer Eng, PhD ajae π π π ... muambie kijana wako Mwachiluwi asome.. acche mademu
Ungesema kijana... π π π .. basi nenda kalale tu..Wewe jau nimetoka hapo mda sio mrefu
πππWaleteMtoto wa kike una kichwa km viatu vya tandale vya 400 wanavyomwaga saa 10, shingo ndefu mbaya km ngamia aliyekatishwa kunyonyeshwa afu nyoko nyoko piem kwa wanaume!!!! Mfyuuu unajichora kifupi hakuelewi wewe sio vitu vyake acha kuoga maji ya vidimbwi wanakoishi vyura
Rohoo mbayaaa tuuu mtu kitu sio chako unaumia nini???Wanaoumia itakuwa wana matatizo ya akiliπ€£π€£π€£
Hawajielewi, ni ushamba pia.Rohoo mbayaaa tuuu mtu kitu sio chako unaumia nini???
Hiv kwaza hazi yako sio vocha unajua af huyo Mjep kama anakuonga vocha pekee bas bado anajitafuta ajajipata mwambie atume mihamara mikubwa uselfkie nayo hapo ili wakujinyonga ajinyonge wakunywa sumu anywe tujue tumepoteza ndugu wangapi kwa wivu au unasemaje National Anthem mshamba_hachekwi Intelligent businessmanNitazichukua sana na hamna kitu wanaweza nifanya, afu shem nikiongea mara moja tu nakuta mivocha ya pesa yote sio hizi za jero gombania goli mpk watoe macho km wanasoma ongezeko la mshahara
kila nikipta near sheki road Kama Kuna sumaku hivi inanivuta.π π π kwa mawazo.. .. leo nina mzuka na mambo flani mzee.. mama kabaki home.. nina kazi mpyaaa..
arudi namwambia boda anairudisheUngesema kijana... π π π .. basi nenda kalale tu..
Na Wivuuuuuu tuuuu hawana jingine!!Hawajielewi, ni ushamba pia.
Ndo sijawahi bahatika kabisaHawajielewi, ni ushamba pia.
π π π hiyo chuma ya country ni π₯π₯π₯.. ina boobs flani hivi.. ukitazama umeishaHiv kwaza hazi yako sio vocha unajua af huyo Mjep kama anakuonga vocha pekee bas bado anajitafuta ajajipata mwambie atume mihamara mikubwa uselfkie nayo hapo ili wakujinyonga ajinyonge wakunywa sumu anywe tujue tumepoteza ndugu wangapi kwa wivu au unasemaje National Anthem mshamba_hachekwi Intelligent businessman
Nishushie mmoja Basi kwanzaHahahaaa..
Wapi Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy πΊπΊπΊπΊπ£οΈπ£οΈπ£οΈπ£οΈπ£οΈ
Ongeza sautiiiii pulllllllliiiiiiiiizzzzz π€£ Huwa Unasemaaaa??? ππππ!!
Dah π€£ππππ, I mean no malice to nobodyHiv kwaza hazi yako sio vocha unajua af huyo Mjep kama anakuonga vocha pekee bas bado anajitafuta ajajipata mwambie atume mihamara mikubwa uselfkie nayo hapo ili wakujinyonga ajinyonge wakunywa sumu anywe tujue tumepoteza ndugu wangapi kwa wivu au unasemaje National Anthem mshamba_hachekwi Intelligent businessman
π π π pale napaogopa ukipaki gari inaonekana, kuna siku ilinileta shida.. sijui nani alipita mzee.. nikashangaa simu.. samaki samaki napapenda kwasababu hakuna ukudakila nikipta near sheki road Kama Kuna sumaku hivi inanivuta.
Ndiomana napenda kujikalia zangu kibaha tu. Mjini fujo Ni nyingi sana