Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kibaka kakamatwa kaingia ndani sijui ya baa, sasa kaingia 18 za wenye mali wamempa kichapo na anahojia kaingiaje hapo ndani maana ni bonge na mlango waonekana mdogo (yaani ni sawa na tikiti maji ukute limezama ndani ya kitenesi)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1780]
 

viatu hivyo vya kishamba mzee! pia saa hiyo kama ya "bosheni" yale yanauzwa KIKUU 4,000/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…