[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1780]Ni kibaka kakamatwa kaingia ndani sijui ya baa, sasa kaingia 18 za wenye mali wamempa kichapo na anahojia kaingiaje hapo ndani maana ni bonge na mlango waonekana mdogo (yaani ni sawa na tikiti maji ukute limezama ndani ya kitenesi)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1780]
picha nzuri viatu vya kishamba!
Weka picha mzee babapicha nzuri viatu vya kishamba!
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Mefurahi mimi jamani [emoji1780]Hahaha umechekaaa mwenyewe [emoji73]
Asante jamani!picha nzuri viatu vya kishamba!
@Watu8
Abeeeee [emoji1780]
I see you [emoji73], i see youuuu@Watu8
Ha ha ha nilikuwa napata shida kujua hii ni 1series au X1. Kumbe ni 1series ambayo iko moja. I know you dude!After a good shower [emoji847]
View attachment 1277388
View attachment 1277389
View attachment 1277391
Ndio wapi huko?
Mmeweka picha au mmejaza maneno?
Mweeeeh!!!Mitaa ya mbez beach kwa zena
Nisaidie kuchagua nijipulizie ipi naingia viwanjaMmeweka picha au mmejaza maneno?
Ha ha ha nilikuwa napata shida kujua hii ni 1series au X1. Kumbe ni 1series ambayo iko moja. I know you dude!