Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,443
Ndo nini huko daslam๐คhahaha
ACHA FANTASY
ajuza yule bora kalala.. asishindane na vigoli kama nyie hapo.. ๐ ๐ ๐ ๐ ...๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ Leo umemchamba Cute wife
Nimechoka hao kuku aiseeajuza yule bora kalala.. asishindane na vigoli kama nyie hapo.. ๐ ๐ ๐ ๐ ...
nakuona mlimani wa dar.. siku ingine ukija niambie huwa ni chef hapo KFC ujilie bata ka kuku basi pachaa wangu. ๐๐๐
basi sankara pale samaki samaki.. ๐๐๐... basi kama waja waja nitakuwa nimekuona sema bila kujia.. maana mie ndio mpishi wa hao kukuNimechoka hao kuku aisee
Sema wallah๐. Huwa nakuja sana hapo Kuku Tuesdaybasi sankara pale samaki samaki.. ๐๐๐... basi kama waja waja nitakuwa nimekuona sema bila kujia.. maana mie ndio mpishi wa hao kuku
Mie ndio Chef mwenyewe .. ukija siku ingine nitakupa offer kabisaa.. offer yaki JF... unaona uki selfika usiku hakuna ujinga kama mchana.. watu wa usiku tunafata mashart yaani ๐๐๐Sema wallah๐. Huwa nakuja sana hapo Kuku Tuesday
sepetember conference hiyo ๐ ๐ ๐
acha tu aisee๐ mimi kweli mshambasepetember conference hiyo ๐ ๐ ๐
vyuma hivyo kawaidaaa sanaa ๐ ๐ ๐ ๐ ๐acha tu aisee๐ mimi kweli mshamba
unaonekana umevila hatari๐vyuma hivyo kawaidaaa sanaa ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
๐ ๐ ๐ nilichezea mwaka wa pili hadi nikaona naaga chuoo.. ila mwamba nilipasua mwambaaaa... maana nilikuwa naingia na booklet nzima imejaa majibu, nakaa kama lisaa natupa ya ticha na baki na niliyo ingia nayo, alafu naomba ya nyongezaa... najazaa vizuriiii... kituuuu... usijaribuu.. hii sijashauri wala sio ushauri huuunaonekana umevila hatari๐