Selfika na JF: Snap it. Show it

unaeza ukaja kupata wale majamaa unakuta ni tajiri ila anajifanya maskini kwa muda mfupi akitafuta mwanamke ambae haombi hela, kama kwenye nigerian moviesπŸ˜‚ utakua umeulambaπŸ˜‚
Kuna bro mmoja alikua ni Engineer pale ewura, akampenda mdada. Ikabidi akodi chumba na kununua robota la mitumba ili ajifanye ni muuza mitumba. Dada akaona hapa njaa kali kumbe jamaa anampima tu.
 
Kuna bro mmoja alikua ni Engineer pale ewura, akampenda mdada. Ikabidi akodi chumba na kununua robota la mitumba ili ajifanye ni muuza mitumba. Dada akaona hapa njaa kali kumbe jamaa anampima tu.
hii ndo njia sahihi ya kupima wanawake....
 
Reactions: 511
unaeza ukaja kupata wale majamaa unakuta ni tajiri ila anajifanya maskini kwa muda mfupi akitafuta mwanamke ambae haombi hela, kama kwenye nigerian moviesπŸ˜‚ utakua umeulambaπŸ˜‚
Hehheee wanapatikana wapi πŸ˜‚πŸ˜‚
Here's my favourite verse from the book of Philippians 4:11-12
I have learned to be content whatever the circumstances

I know what is to be in need , and I know what it is to have plenty . I have learned the secret of being content in every situation whether fed or hungry , whether living in plenty or in want .
 
tena ukimshushia hili verse ndo anadata kabisa πŸ˜‚
 
Reactions: 511
Hehehe wengind hatuna nyota ya mapenzi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unayempenda naye anampenda mwingine πŸ˜‚
Hakuna mtu hana nyota ya mapenzi, hujapata anaekufaa, ukimpata hutasema hivi
 
Hiyo mikono natamani niishike aseeee

Na imagine ukininaliii kinaniliii changu πŸ˜…πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
Aiseee 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…