Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitakubonda wewe, halafu niwewe au nani aliyefanya kuna watu wananifatafata kama mkojo kila napoenda. Sina ukoo humu so kila mtu afe kivyake sitaki fatwafatwa nyuma miye.
Lala sasa ukue, haya ya kukusingizia tutayaongea mwakani. Kwanza nimekusingizia nini? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😁😁😁😁😁 Usitaniwe na ww eeeeh

Kupanick kote kwann sasa relax bana mkuu,,,,, jokes tu za hapa na pale 😊😊😊😊.

Kule unakofwatwa sio mm ila si unajua jf ni kubwa sana mkuuu 😜😜
 
😁😁😁😁😁 Usitaniwe na ww eeeeh

Kupanick kote kwann sasa relax bana mkuu,,,,, jokes tu za hapa na pale 😊😊😊😊.
I know wala sijapanic. Naanzaje kupanic kwako rafiki wa udongo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Good night...
Sema nina Ignore list ndefu sana....πŸ’ƒ
 
Gud nyt to you unataka ku ni ignore tena mm si unajua michezo yangu humu jf 😜😜
Acha niishie hapo.

Auntieeeeeee
Nakujua na nayekujua nimimi tu siri yangu. Siwezi kuku ignore wewe. Najua nitakuwa natwanga maji kwenye kinu. 😜 thanks ...
 
Ipi hiyo?
Nilishasoma na mama anatukulia class 20 years, She had already experienced a full life, alikuwa ana watoto wanatuzidi, sasa nitakupa story ilikuaje akarudi shule na huo umri, ilinifunza kitu kwamba kwenye maisha its not too late to become unachotaka. Ni miaka imepita sasa, aligraduate na alikuwa moja wanafunzi waliofanya vizuri sana. Alituma barua kumualika ex husband wake kwenye graduation yake na juu ya envelope aliandika f__ck you, nitakupa kisa ilikuaje.
 
Sponsor uje nitimize ahadi basi. Mjep
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Usingizi umeniponza wallah............

Hawa Man U ndo wamenisababishia matatizo yoote haya

Poor me........😭
Poor......😭
 
Nikutumie mkuuu 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…