Nimefungua tu Jf naona title ya uzi na hii picha imedisplay kama icon ndio ikanishawishi niufungue uzi mzima.. Yani kuna mtu ukimuangalia afu ukamuangalia na demu wako basi unaishia kuimba "Tenda miujiza"
tena hapo imebidi nibakishe ya kupigia picha ila ningeweza kutafuna yote maana kuku za KFC zinatafunika hadi mifupa ukiwa mlafi kama mimi unaweza jikuta haujaacha kitu