Alafu binadamu hatupasw kudharauliana aisee last month nilitafutwa na mtu tulokutanaga miaka 8 imepita na tulionana maramoja somewhere nikiwa Binti enz hizoππKilichotokea ananisaidia sana sana kwenye vitu vikubwa mno had sahiz sijaamini tuishi Kwa wema hatujui kesho kusemana semana sio ishu hapa tunaburudika tu