Selfika na JF: Snap it. Show it

Tulia wewe uangalie movie inavyoenda. Utajuaje kama hiki chakula ndiyo ur favorite bila kukionja? Niache nitatulia nikifika my destination
sumbai karibu kijana wangu nilikuzuia bure wee jihudumia maana ni self service๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Bora nilikupiga chini utakuwa mzaramo wa mafiga 3
Jack Palladino msome mkeo
ERoni kuna chakula huku mkuu๐Ÿคฃ
Mimi nakujulia wapi? Wee niletee hizo shombo miye ndiyo ndimu mkata shombo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hivi unaitwa nani vile? ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Wa vipajii ERoni ujue bado nasubiria selfii yako tangu ile siku???

Good evening kwanza โœ‹!
 
Tabia yako ya ukicheche ilinishinda ndio maana nilikufungia nje matokeo yake umenitangaza kila kona...utatulia lini?
Hivi kaka unaongea namimi? Ama umenifananisha?
Hebu angalia vizuri mafile yako bro ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mimi nakujulia wapi? Wee niletee hizo shombo miye ndiyo ndimu mkata shombo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hivi unaitwa nani vile? ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Huna maana wewe kalio lako๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ