Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu mitandaoni hawatakwambia kuwa wazazi wao wanawasaidia kulipa kodi,ndugu zao wanawasaidia kupata pesa za mtaji na kuanzisha biashara zao na hawatakwambia kuwa wana wababa wanaowatumia pesa kila mwezi kwaajili ya manunuzi ili wale,wavae wapendeze na waende sehemu mbalimbali.

Hawatakwambia kuwa wana ndugu na jamaa zao serikalini wanaowapa madeal na kuwaunganisha kazi.
Usichanganywe na maisha ya watu, usiumizwe na usivyojua vyanzo vyake.
USISHINDANE NA USIJIRINGANISHE

Kutoka Twitter
 
Imenichomaaaaa!!! Ahsanteeeee babuuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…