Hivi unajua maana ya kusifia?
Ulikuwa na uwezo wa kumsifia bila kukandia picha nyingine zilizopostiwa huku. Eti haujasema wengine ni wabaya, ulikuwa na maana gani kusema miguu imefunika picha zote zilizopostiwa huku?
.
Yalikuwa ni mawazo yako? Ulikuwa una maana gani kusema kwa Mwanaume kamili lazima aone kama ulivoona wewe?
.
Point of correction, sijapanic ila nimeshangaa sikudhani kuna watu wajinga kiasi chako.
.
Kula mafenesi yako mwenyewe na siku nyingine uwe unaandika vitu vnye maana.