Selfika na JF: Snap it. Show it

Kitu ambacho nita shindwa kutumia fork & knife basi ni mlenda๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€na wenyewe ninauhesabia siku tu ninaweza kupita nao usiamini ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Hapo kwenye mlenda sijui kama utaweza ๐Ÿ˜ƒ

Kuna rafiki yangu mmoja Mzungu nilimfundisha kula Ugali na Mlenda, Sasa Ile kwenye kuvutika si akaomba Kisu awe anakatia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ.

Na imagine utakavyokuwa unafanya wewe pia ๐Ÿ˜€
 
Hapo kwenye mlenda sijui kama utaweza ๐Ÿ˜ƒ

Kuna rafiki yangu mmoja Mzungu nilimfundisha kula Ugali na Mlenda, Sasa Ile kwenye kuvutika si akaomba Kisu awe anakatia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ.

Na imagine utakavyokuwa unafanya wewe pia ๐Ÿ˜€
Mimi nitatumia mkasi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€na siku nikilifanikisha nitatuma video clip humu ndani Kwa ajili yako uone nitakavyopambana๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ