Selfika na JF: Snap it. Show it

Kelele tu
Sina njia nyingine .... 🀣🀣
kasauti kembamba πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Kipaji hichoooo πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† kukimbia je...?
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Kipaji hichoooo πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† kukimbia je...?
nakimbiaje na kitambi hichi
nitahema kama kuku.
 
hahaha hapana chezea adrenaline
nashtuka huyo , nitakimbia chap chap
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† Baadae unajiuliza pale nilitokajee....?? Na pia hyo adrenallin naskia inaweza ikafanya ukae yaan uishiwe nguvu kabisa🀣🀣🀣🀣
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† Baadae unajiuliza pale nilitokajee....?? Na pia hyo adrenallin naskia inaweza ikafanya ukae yaan uishiwe nguvu kabisa🀣🀣🀣🀣
Hahha inawezekana
Ila kwangu nilivyoina ipo active hiyo ..
nisikutwe na kitu .
 
Baba yupi tena jamani..

Wow..I see mahaba ndindindi kwakweli.
Kuna sehemu nimeona mwandiko wako Umekaa vibaya nusu nikutie makonzi ya utosi 😝😜
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maandishi mengine yooote hayana tatizo.
Kikubwa yasiwe ya ugomvi tu..
Huo amefanikiwa,nimeacha.


Kwani umempiga chini Baba wa watu?
 
Hahha inawezekana
Ila kwangu nilivyoina ipo active hiyo ..
nisikutwe na kitu .
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Unavyojisifia ... Ujawahi bananizwa wewe.... 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Unaanze kuumia weye
unaonkenaa care free sana
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Jamni... Mtihani huo hakuna aliyefuzu.. ila wengine ni vile tuu 😁😁😁😁😁 🀝🀝🀝🀝🀝
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Unavyojisifia ... Ujawahi bananizwa wewe.... 🀣🀣🀣🀣🀣
Nikichelewa kurudi huyo napanda boda .
nakaa karibu kambini Basi kamtaaa ketu kapo safe kidogo.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Jamni... Mtihani huo hakuna aliyefuzu.. ila wengine ni vile tuu 😁😁😁😁😁 🀝🀝🀝🀝🀝
nyie si ndo mataita
wazee wa Kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…