Usshungu mnoo mjomba!!ππππππππππππππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίππππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπππππππππ₯Ίπ₯Ίππππππππππππ
Maskini binti mzuri kabisa kafa mapenaaa ushunguuu sanaaa π₯²π₯²
Inaumaaa sana, nimeishiwa hata maneno .. π₯Ή kifo sio kizuriUsshungu mnoo mjomba!!
Kabisa mjomba!Inaumaaa sana, nimeishiwa hata maneno .. π₯Ή kifo sio kizuri
sad story πSo sad!!_
Inasikitisha sana dear!sad story π
Nimemuona kwenye clip analia kwa hisia, Mungu ambariki sana kwa moyo wake alioonyesha wa kujitolea.Kabisa mjomba!
Kuna kakijana kavuvi ka 20+ years nadhani kamejipatia ajira bana kalivunja dirisha la ndege kakazama ndani huko na kufanikiwa kuokoa baadhi ujasiri uliojee... Kamepewa tu million twake kadhaa nakuambiwa apelekwe jeshi sijui kakapate mafunzo ya uokoaji ajira straight..... wanakahoji kanalia tu Masikini .
Kuna wanawake makatili, wameisha kaweka kwenye radar zao wakadange hela ziishe π€£π€£π€£Kabisa mjomba!
Kuna kakijana kavuvi ka 20+ years nadhani kamejipatia ajira bana kalivunja dirisha la ndege kakazama ndani huko na kufanikiwa kuokoa baadhi ujasiri uliojee... Kamepewa tu million twake kadhaa nakuambiwa apelekwe jeshi sijui kakapate mafunzo ya uokoaji ajira straight..... wanakahoji kanalia tu Masikini .
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Wakaache kakomandoo ketu aiseeehhh ! πKuna wanawake makatili, wameisha kaweka kwenye radar zao wakadange hela ziishe π€£π€£π€£
mtu na Dada yake pia aiseeInasikitisha sana dear!
Yaniii hakakuamini masikini kamelia kwa hisia sana!! Mungu akasaidie tu kwakweliNimemuona kwenye clip analia kwa hisia, Mungu ambariki sana kwa moyo wake alioonyesha wa kujitolea.
Hatimaye kajipatia zake ajira
Aaaah! Hapo leo watakasumbua sana kawagonge maana kana pumzi kakijana ya hatari.. kakikuweka lazima maji yaisheπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ Wakaache kakomandoo ketu aiseeehhh ! π
Very painful [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mtu na Dada yake pia aisee
Kweli aiseeTinsley National Anthem Anthem ππππ
Wadada wasimsumbue apewe ulinzi jamaniYaniii hakakuamini masikini kamelia kwa hisia sana!! Mungu akasaidie tu kwakweli
Kwakweli kanahitaji ulinziπππ kakikaa vibaya watakapururaaa hata wiki haiishi!Wadada wasimsumbue apewe ulinzi jamani
Jamani ni majozi mmhSo sad!!_
π€£π€£watu wabaya sanaKwakweli kanahitaji ulinziπππ kakikaa vibaya watakapururaaa hata wiki haiishi!
Katika maisha huwa sipendi kitu dharau aiseeehhh!!Kweli aisee
huwezi jua mtu gani atakusaidia katika maisha