Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwezi amini hii siyo nafasi ya upendeleo..
Unastahili.


Na wala haihusiani na vurugu zenu za juzi na Dada Mkuu.
Wewe ulikuwa umeshaupiga mwingi nyuma.


Usituharibie sasa surprise.
 
Huwezi amini hii siyo nafasi ya upendeleo..
Unastahili.


Na wala haihusiani na vurugu zenu za juzi na Dada Mkuu.
Wewe ulikuwa umeshaupiga mwingi nyuma.


Usituharibie sasa surprise.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kichwa yako ni mbovu sana(zingatia nilipobold)

Maana hapa nikukubalie tu kabla hujaanza ubishiπŸ˜†

Ngoja niwe mpole kuusubiria mwaka kesho πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
 
Leo nimepoteza Miwani yangu ya Kusomea, kwahiyo napata shida kidogo kuandika πŸ€ͺ
🀣🀣🀣🀣🀣Pole sana babuu!! Kuna swali huku walimu wanabishana hebu tusaidie babu yetu eti ndege ilivozama watu walikufa kwa kukosa hewa wengine kwa kunywa maji mengi ndio mabishano sasa kwamba kwenye ndege hakuna nafasi ya kuingiza maji wengine wanasema ipo mjukuu wako hata sijuiiii hebu nieleweshe kwanza babu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…