Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Alinipa 2021 π πPicha ya tar. 06.10.2021
Ulikuwa hujaanza hata huo mchezo
Ebu eleweka bhana
Unanibania nini lakini[emoji848]
Ila wanawake unanibania hapa
Halafu huko hilo jamaa halina habari
Mwisho mnaanza oh wanaume ni mbwa
Sasa sijui nyie Ke ni paka mwitu..
Mtaani kugumukikubwa yamekwisha
imebaki kupambana tu huku kitaa.
πππ sijaanzaKwa hiyo
Matusi uliyaanza lini Dogo[emoji848]
Chuo panachosha , Bora huku ukikosa sawa na ukipata sawa unabaki kumshukuru Mungu .Mtaani kugumu
Ila sijawahi tamani kurudi chuo
Jicho hilo Aunt yanguπ
π Naona unaburudika.
UmeoteaπJicho hilo Aunt yanguπ
Leo nina bahati kweli
ππ
Leo nimekua na bahati ya mtende kweli kweli, ile naingia selfika tu nakutana na kitu kikali kutoka kwa aunt yanguπUmeoteaπ
Mim ni mke wa wote mdg ake Wigelekelo nahisi ndio me mkubwa
Yaani cwezi kukuacha labda waniuwe.Afadhali maana tupo mil 61π
Enjoy auntLeo nimekua na bahati ya mtende kweli kweli, ile naingia selfika tu nakutana na kitu kikali kutoka kwa aunt yanguπ
Ulichelewa sana kufahamuTu bia twa kunywa msibani,ktk kiduka cha mangi,tamu sana
ππKupendwa raha ankowenu yupo tayari kufa sio kuniacha πYaani cwezi kukuacha labda waniuwe.