Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna mtu anakutongoza then ukimuangalia unasema moyoni huyu ni big no , ndo wamwambia hapo Kaka I'm taken , ili asikusumbue kumkubalia .

Ila akija mkaka , unayempenda unaweza zuga siku kadhaa halfu Mambo yakatiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimecheka km chizi wallah.
 
Tatizo lugha dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa. Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu. Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
 
Kumekuchaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ