Kuna siku mdada aliweka imoji usoni jamaa akamwambia yaani unajiona umeficha sana uso
Niitoe akaambiwa Toa
Kilichofuata mods waliiondoa maana alilalamika sana
Kuna wataalamu humu wanawachora tu
Ngoja niangalie angalie picha zenu kwanza haha
Kuna siku mdada aliweka imoji usoni jamaa akamwambia yaani unajiona umeficha sana uso
Niitoe akaambiwa Toa
Kilichofuata mods waliiondoa maana alilalamika sana
Kuna wataalamu humu wanawachora tu
Ngoja niangalie angalie picha zenu kwanza haha