Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,571
- 235,411
Kwani sisi hatuwavumilii??Kutafuta pesa kupo, lakini ukweli mchungu ni kwamba siyo kila siku utakuwa na pesa......
Hivyo kuvumiliana na kusaidiana ni lazima kwenye maisha haya....
Takwimu zinasema kwamba watanzania wa miaka ya 73-90 waliishi maisha magumu kuliko kipindi kingine chochote kile Tanzania, lakini wakavumiliana kwenye ndoa na wengi wenu mkazaliwa kwa wingi miaka hiyo ya 85 na kuendelea.
Ndoa siyo rahisi kama ambavyo wengi mnadhani. Watu wanavumiliana kwa mengi sana.Waaah Nkamu!!
Hapana kwa kweli..Mwanaume lazima uchakarike tule mwee.
Nkamu tunavumilia na tunasaidianaNdoa siyo rahisi kama ambavyo wengi mnadhani. Watu wanavumiliana kwa mengi sana.
Sema siku hizi kila mtu anataka kujifanya anaishi maisha ya Ulaya na Marekani....
Aiseee, mtafika mmechoka sana, yaani sanaa.... 😁 😁 😁
Vizuri kabisa, heri wewe umekuwa mkweli. Kuna siku watu wanarudi bilabila hata kama una mshahara mkubwa. Ila kadiri siku zinavyoenda mbele maisha hubadilika, na kipato chenu hukua kutokana na sababu mbalimbali.Kwani sisi hatuwavumilii??
Mbona tunawavumilia kabisa,Kuna siku mnarudi bila bila ila tunawapenda hivyohivyo.
Siku hazifanani.Vizuri kabisa, heri wewe umekuwa mkweli. Kuna siku watu wanarudi bilabila hata kama una mshahara mkubwa.
Shida ni kwamba, watoto wa miaka 20 na 30 wanataka kuishi maisha ambayo mimi mtu wa miaka 50 anaishi. Wanataka kuvaa vitu vya gharama ambavyo watu wakubwa wenye hela wanavaa, na kutembelea magari ambayo wakubwa wanatembelea. Hizo hela wakubwa wengi hawakuzipata ndani ya miaka 5, walimenyeka miaka isiyopungua 15, pamoja na kuvumiliana.Nkamu tunavumilia na tunasaidiana
Sema huku JF kila mtu matawi ya juu,,Hata sisi wa kwa madongo kuinama tunaenda tu na upepo.
Nje ya hapo,maisha ni yaleyale ya kuwavumilia akina Baba mia mbili mbili wanazopata.
Hii akili unayo wewe, wenzako wengi hawawazi hivi....Siku hazifanani.
Sema mm nikija kuzifuma hela aisee mwanaume wangu ataishi kama Malaika.
Anavyopambana kwa kidogo anachopata ananitunza wakati mimi sina chochote.Hii akili unayo wewe, wenzako wengi hawawazi hivi....
Boss ledi unaangalia hadi mavimpire??Usiku mwema wapendwa!!
Enjoy your weekend ✌️✌️!
Hahahaa Ndio naanza nayo hioo nishatulia kabisa hapaaa sitaki bugudha na mtuu !Boss ledi unaangalia hadi mavimpire??
Wewe noma!
Kuna habari nilisoma..Graduate alivyopanga mipango mikubwa ya mishe zake hata cheti hajachukua.Shida ni kwamba, watoto wa miaka 20 na 30 wanataka kuishi maisha ambayo mimi mtu wa miaka 50 anaishi. Wanataka kuvaa vitu vya gharama ambavyo watu wakubwa wenye hela wanavaa, na kutembelea magari ambayo wakubwa wanatembelea. Hizo hela wakubwa wengi hawakuzipata ndani ya miaka 5, walimenyeka miaka isiyopungua 15, pamoja na kuvumiliana.
DuhHahahaa Ndio naanza nayo hioo nishatulia kabisa hapaaa !
Amen , yupo supportive huyo .Anavyopambana kwa kidogo anachopata ananitunza wakati mimi sina chochote.
Najaribu kupiga hesabu namna nitazilipa hizi fadhila,nashindwa.
Lakini Hao jamaa ndio mie ujue 😁😁Done,
[emoji1787] Sio woga, wale jamaa wanasababisha usumbufu usio wa lazima [emoji1787]. Hawafai
MnoAmen , yupo supportive huyo .
Mwombee , Mungu ambariki zaidi
Amen,Mwombee , Mungu ambariki zaidi
Pia mahusiano yenu .
May God bless you abundantlyAmen,
Hayo ni maombi yangu kila siku.
Na mimi nikipata chochote priority yangu ya kwanza ni yeye kuliko hata mimi.
Heri nikose,Apate.
That's genuine love ...Amen,
Hayo ni maombi yangu kila siku.
Na mimi nikipata chochote priority yangu ya kwanza ni yeye kuliko hata mimi.
Heri nikose,Apate.