Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama wew ulivyoachwa na mauriniiiiiiiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Maureen acha tu, alifanya nisitumie iPad maisha yangu hadi leo, kila nikiona iPad namuona.. wakati kanasoma chuo nili kahonga iPad piruuu.. Nikizionaga natonesheka picha inarudi
 
Walikuwa wamesafikiri nyumba yoote nimebaki mie na mdada, wee asali ile niliweka kuanzia mguuni kama msatari, nikaanza ufata hadi kichwani weeee.. Kilipiga mikelele ya kila aina πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Huna baya mwnywe unaenjoy zako mema ya nchiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
We mpelekee moto mpaka asahau kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…