boda anaweza bamizwa,, madogo wa chuga jau sanaaa
Eti ananiambia D muulize akakwambie kwann amekipeleka nje, Kwani mm sina
mtu namgharamikia kila kitu β¦
Nikamwambia relax
Then exhale
Bla bla kibao hapo kati, jamaa akapoa kidogo.. hadi huruma
akakaa chini
Akanambia nimekuelewa, nenda na Samahani kwa usumbufu
Nikasepa
Hii sauti kuna nyakati me mwenyewe siielewi
Kuna siku mama alinambia kaza sauti ukiongea na mm