Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Aug 24, 2022 #255,801 Chakorii said: Nikiendelea kujibu aina hii ya mwandiko hakika kuna kitu lazima nijishushie. Pamoja sana mkuu.uwe na wakati mwema 🥂🥂 Click to expand... Hutaniwi mkuu? Yan ulivyo na lips denda kweli unaamini maneno yangu? Na jinsi ulivyo na miguu ya champagne umeamini una vigimbi? Basi nisamehe mtoto mzuri Chakorii kweli kabisa ulikuwa ni utani...
Chakorii said: Nikiendelea kujibu aina hii ya mwandiko hakika kuna kitu lazima nijishushie. Pamoja sana mkuu.uwe na wakati mwema 🥂🥂 Click to expand... Hutaniwi mkuu? Yan ulivyo na lips denda kweli unaamini maneno yangu? Na jinsi ulivyo na miguu ya champagne umeamini una vigimbi? Basi nisamehe mtoto mzuri Chakorii kweli kabisa ulikuwa ni utani...
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Aug 24, 2022 #255,802 Post M-alone said: Hutaniwi mkuu? Yan ulivyo na lips denda kweli unaamini maneno yangu? Na jinsi ulivyo na miguu ya champagne umeamini una vigimbi? Basi nisamehe mtoto mzuri Chakorii kweli kabisa ulikuwa ni utani... Click to expand... 🥂
Post M-alone said: Hutaniwi mkuu? Yan ulivyo na lips denda kweli unaamini maneno yangu? Na jinsi ulivyo na miguu ya champagne umeamini una vigimbi? Basi nisamehe mtoto mzuri Chakorii kweli kabisa ulikuwa ni utani... Click to expand... 🥂
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Aug 24, 2022 #255,803 Saint Anne said: Upande wa miamala hakuna shida.. Mpesa ipo vizuri tu ila sina mpango tena wa kuja kuunga bando la voda Nina line 2 tu! Airtel na Voda. Click to expand... Zinaanzia ngapi Zinaishia ngapi
Saint Anne said: Upande wa miamala hakuna shida.. Mpesa ipo vizuri tu ila sina mpango tena wa kuja kuunga bando la voda Nina line 2 tu! Airtel na Voda. Click to expand... Zinaanzia ngapi Zinaishia ngapi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,804 Chakorii said: Inatia moyo mawasiliano yapo. Wapi makofi yake. Click to expand... Mawasiliano yamepamba moto sana Mungu ni Mwema. Hivi tunamalizia kuandaa kadi.
Chakorii said: Inatia moyo mawasiliano yapo. Wapi makofi yake. Click to expand... Mawasiliano yamepamba moto sana Mungu ni Mwema. Hivi tunamalizia kuandaa kadi.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Aug 24, 2022 #255,805 Saint Anne said: Mawasiliano yamepamba moto sana Mungu ni Mwema. Hivi tunamalizia kuandaa kadi. Click to expand... 👏👏👏👏👏 👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿 🤝🤝🤝🤝🤝
Saint Anne said: Mawasiliano yamepamba moto sana Mungu ni Mwema. Hivi tunamalizia kuandaa kadi. Click to expand... 👏👏👏👏👏 👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿 🤝🤝🤝🤝🤝
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,806 Wigelekelo said: Zinaanzia ngapi Zinaishia ngapi Click to expand... Ili uangalie zinazochukua vocha humu?😂😂😂 Zangu huwa sichukui vocha hapa.
Wigelekelo said: Zinaanzia ngapi Zinaishia ngapi Click to expand... Ili uangalie zinazochukua vocha humu?😂😂😂 Zangu huwa sichukui vocha hapa.
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Aug 24, 2022 #255,807 Chakorii said: Nitakudai Hadi ndotoni ujue chaubishi. Hivi Pep hajambo kwanza Click to expand...
Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Aug 24, 2022 #255,808 Chakorii said: 🥂 Click to expand... Saint Anne, Chakorii nimemtania kanuna nisaidie kuomba msamaha...
Chakorii said: 🥂 Click to expand... Saint Anne, Chakorii nimemtania kanuna nisaidie kuomba msamaha...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,809 Chakorii said: 👏👏👏👏👏 👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿 🤝🤝🤝🤝🤝 Click to expand... 🥰🥰🥰 Wewe una seat yako special pale mbele. Tutakufanyia surprise.
Chakorii said: 👏👏👏👏👏 👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿 🤝🤝🤝🤝🤝 Click to expand... 🥰🥰🥰 Wewe una seat yako special pale mbele. Tutakufanyia surprise.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,810 Post M-alone said: Saint Anne, Chakorii nimemtania kanuna nisaidie kuomba msamaha... Click to expand... Kwanza nilipe madeni yangu kabla sijakupiga ngumi😂
Post M-alone said: Saint Anne, Chakorii nimemtania kanuna nisaidie kuomba msamaha... Click to expand... Kwanza nilipe madeni yangu kabla sijakupiga ngumi😂
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Aug 24, 2022 #255,811 Saint Anne said: Uzione zile fimbo zangu? Mimi mwenyewe tu inaniogopesha Click to expand... Urongo unakusaidia nini Ewe mjori
Saint Anne said: Uzione zile fimbo zangu? Mimi mwenyewe tu inaniogopesha Click to expand... Urongo unakusaidia nini Ewe mjori
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,812 Wigelekelo said: Click to expand... Nilijua tu utacomment
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,813 Wigelekelo said: Urongo unakusaidia nini Ewe mjori Click to expand... Ile miguu imepinda kama rangi za mvua😂
Wigelekelo said: Urongo unakusaidia nini Ewe mjori Click to expand... Ile miguu imepinda kama rangi za mvua😂
Post M-alone JF-Expert Member Joined Aug 18, 2021 Posts 2,962 Reaction score 9,557 Aug 24, 2022 #255,814 Saint Anne said: Kwanza nilipe madeni yangu kabla sijakupiga ngumi😂 Click to expand... Deni nalipa mwambie Chakorii asinune ulikuwa utani...
Saint Anne said: Kwanza nilipe madeni yangu kabla sijakupiga ngumi😂 Click to expand... Deni nalipa mwambie Chakorii asinune ulikuwa utani...
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Aug 24, 2022 #255,815 Saint Anne said: 🥰🥰🥰 Wewe una seat yako special pale mbele. Tutakufanyia surprise. Click to expand... Napata wasiwasi
Saint Anne said: 🥰🥰🥰 Wewe una seat yako special pale mbele. Tutakufanyia surprise. Click to expand... Napata wasiwasi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,816 Post M-alone said: Deni nalipa mwambie Chakorii asinune ulikuwa utani... Click to expand... Hajakuzoea. Umemtania kabla hajakuzoea. Haya , lipa deni. Tena sijui nije na makofi huko pm
Post M-alone said: Deni nalipa mwambie Chakorii asinune ulikuwa utani... Click to expand... Hajakuzoea. Umemtania kabla hajakuzoea. Haya , lipa deni. Tena sijui nije na makofi huko pm
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Aug 24, 2022 #255,817 Saint Anne said: Pep anatokea wapi hapa wakati wametandikwa juzi vitatu bila Click to expand... Aisee
Saint Anne said: Pep anatokea wapi hapa wakati wametandikwa juzi vitatu bila Click to expand... Aisee
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,818 Chakorii said: Napata wasiwasi Click to expand... Yaani usiwe na wasiwasi kabisa😂 HS atakuja kukutoa wasiwasi.
Chakorii said: Napata wasiwasi Click to expand... Yaani usiwe na wasiwasi kabisa😂 HS atakuja kukutoa wasiwasi.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Aug 24, 2022 #255,819 Post M-alone said: Deni nalipa mwambie Chakorii asinune ulikuwa utani... Click to expand... Man relax sijanuna hii ni jf.kuna baadhi ya maandishi siwezi kuyapa nafasi ikiwa ni pamoja na yakwako 🥂
Post M-alone said: Deni nalipa mwambie Chakorii asinune ulikuwa utani... Click to expand... Man relax sijanuna hii ni jf.kuna baadhi ya maandishi siwezi kuyapa nafasi ikiwa ni pamoja na yakwako 🥂
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Aug 24, 2022 #255,820 Wigelekelo said: Aisee Click to expand... Umefurahi eeh??? Ni Chelshit yule🤣