Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,999 Reaction score 48,503 Aug 18, 2022 #253,321 Mjep said: Aunt mkopo umepata dhamana yako ni hilo jicho tuuu😍 Click to expand... 😂😂😂Unatak ukalipike supu aunt jicholangu 🤣
Mjep said: Aunt mkopo umepata dhamana yako ni hilo jicho tuuu😍 Click to expand... 😂😂😂Unatak ukalipike supu aunt jicholangu 🤣
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,999 Reaction score 48,503 Aug 18, 2022 #253,322 Lovelovie said: Aunt aunt aunt auntiisssssssssView attachment 2327545 Click to expand... jamni nzuri🥰
Lovelovie said: Aunt aunt aunt auntiisssssssssView attachment 2327545 Click to expand... jamni nzuri🥰
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,999 Reaction score 48,503 Aug 18, 2022 #253,323 Antonnia said: Halafu una vidole vizuri sana dear!! Click to expand... Asante aunt msusi mm vidole 🔥
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,963 Aug 18, 2022 #253,324 sophy27 said: jamni nzuri Click to expand... Asante Aunt.....
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,325 Depal nadhani jibu umepata sasa
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Aug 18, 2022 #253,326 Lenie said: Depal nadhani jibu umepata sasaView attachment 2327568 Click to expand... 😂😂😂 hivi Kwani atm inatoaga chenji chenji?? Mimi kwenye kahela kangu uwaga kuna efu 8.. haijawahi kutoka 😂😂 yan naitumiaga kuwatoa wenzake… ama ninunue umeme Crdb ya kwetu pale ni multiple 10 10 tu Kwahiyo ile 1300,1500,1700 niisahau? 😂😂😂😂 Sasa si tuhamie SA?
Lenie said: Depal nadhani jibu umepata sasaView attachment 2327568 Click to expand... 😂😂😂 hivi Kwani atm inatoaga chenji chenji?? Mimi kwenye kahela kangu uwaga kuna efu 8.. haijawahi kutoka 😂😂 yan naitumiaga kuwatoa wenzake… ama ninunue umeme Crdb ya kwetu pale ni multiple 10 10 tu Kwahiyo ile 1300,1500,1700 niisahau? 😂😂😂😂 Sasa si tuhamie SA?
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Aug 18, 2022 #253,327 Jirani karibuuu myoyambendi Lenie atakula kwa macho
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,328 Depal said: 😂😂😂 hivi Kwani atm inatoaga chenji chenji?? Mimi kwenye kahela kangu uwaga kuna efu 8.. haijawahi kutoka 😂😂 yan naitumiaga kuwatoa wenzake… ama ninunue umeme Crdb ya kwetu pale ni multiple 10 10 tu Kwahiyo ile 1300,1500,1700 niisahau? 😂😂😂😂 Sasa si tuhamie SA? Click to expand... Wanazibania hizo chini ya 10k hazitokagi hata😂😂 Eeh ndio tufanye mpango wa kushift
Depal said: 😂😂😂 hivi Kwani atm inatoaga chenji chenji?? Mimi kwenye kahela kangu uwaga kuna efu 8.. haijawahi kutoka 😂😂 yan naitumiaga kuwatoa wenzake… ama ninunue umeme Crdb ya kwetu pale ni multiple 10 10 tu Kwahiyo ile 1300,1500,1700 niisahau? 😂😂😂😂 Sasa si tuhamie SA? Click to expand... Wanazibania hizo chini ya 10k hazitokagi hata😂😂 Eeh ndio tufanye mpango wa kushift
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,329 Depal said: Jirani karibuuu myoyambendi Lenie atakula kwa macho View attachment 2327588 Click to expand... Najua ukimpa jirani lazima anipatie na mie Jirani sio mchoyo kama wewe Ila hee si nimeitamani😍😋😋
Depal said: Jirani karibuuu myoyambendi Lenie atakula kwa macho View attachment 2327588 Click to expand... Najua ukimpa jirani lazima anipatie na mie Jirani sio mchoyo kama wewe Ila hee si nimeitamani😍😋😋
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Aug 18, 2022 #253,330 Lenie said: Wanazibania hizo chini ya 10k hazitokagi hata😂😂 Eeh ndio tufanye mpango wa kushift Click to expand... Sasa wa kutupeleka SA amedisapia 🤣 Hao bado mimi sijawaelewa Laki 4 walikuwa wanakata 1700 Laki 2 1500 Na chini ya hapo ni 1300 Kwahiyo sahivi wataendelea kukata hivyo? Plus na kato la Tozo na VAT? Sema hii nchi michosho mno,, sasa anaza VAT la nini na washakata PAYE 😔
Lenie said: Wanazibania hizo chini ya 10k hazitokagi hata😂😂 Eeh ndio tufanye mpango wa kushift Click to expand... Sasa wa kutupeleka SA amedisapia 🤣 Hao bado mimi sijawaelewa Laki 4 walikuwa wanakata 1700 Laki 2 1500 Na chini ya hapo ni 1300 Kwahiyo sahivi wataendelea kukata hivyo? Plus na kato la Tozo na VAT? Sema hii nchi michosho mno,, sasa anaza VAT la nini na washakata PAYE 😔
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Aug 18, 2022 #253,331 Lenie said: Najua ukimpa jirani lazima anipatie na mie Jirani sio mchoyo kama wewe Ila hee si nimeitamani😍😋😋 Click to expand... Nampa kidogo ili hata akikupa utapata kadoncho, hakatokata hamu Kheee unatamani kitu changu? Na Pizza yako ulikula mwenyewe??
Lenie said: Najua ukimpa jirani lazima anipatie na mie Jirani sio mchoyo kama wewe Ila hee si nimeitamani😍😋😋 Click to expand... Nampa kidogo ili hata akikupa utapata kadoncho, hakatokata hamu Kheee unatamani kitu changu? Na Pizza yako ulikula mwenyewe??
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,332 Depal said: Sasa wa kutupeleka SA amedisapia 🤣 Hao bado mimi sijawaelewa Laki 4 walikuwa wanakata 1700 Laki 2 1500 Na chini ya hapo ni 1300 Kwahiyo sahivi wataendelea kukata hivyo? Plus na kato la Tozo na VAT? Sema hii nchi michosho mno,, sasa anaza VAT la nini na washakata PAYE 😔 Click to expand... We si ndio umemdisapaisha, sijapenda🤨 Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo
Depal said: Sasa wa kutupeleka SA amedisapia 🤣 Hao bado mimi sijawaelewa Laki 4 walikuwa wanakata 1700 Laki 2 1500 Na chini ya hapo ni 1300 Kwahiyo sahivi wataendelea kukata hivyo? Plus na kato la Tozo na VAT? Sema hii nchi michosho mno,, sasa anaza VAT la nini na washakata PAYE 😔 Click to expand... We si ndio umemdisapaisha, sijapenda🤨 Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo
Benaya- JF-Expert Member Joined Jul 31, 2019 Posts 4,416 Reaction score 7,649 Aug 18, 2022 #253,333 Lenie said: We si ndio umemdisapaisha, sijapenda Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo Click to expand... Selfika basi mkuu?
Lenie said: We si ndio umemdisapaisha, sijapenda Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo Click to expand... Selfika basi mkuu?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,334 Depal said: Nampa kidogo ili hata akikupa utapata kadoncho, hakatokata hamu Kheee unatamani kitu changu? Na Pizza yako ulikula mwenyewe?? Click to expand... Tutanunua yetu kubwa na jirani We si hupendi pizza, nikila ambacho unapenda nitakupea na mimi
Depal said: Nampa kidogo ili hata akikupa utapata kadoncho, hakatokata hamu Kheee unatamani kitu changu? Na Pizza yako ulikula mwenyewe?? Click to expand... Tutanunua yetu kubwa na jirani We si hupendi pizza, nikila ambacho unapenda nitakupea na mimi
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,335 Amazon2 said: Selfika basi mkuu? Click to expand... Nionyeshe mfano mkuu
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Aug 18, 2022 #253,336 Lenie said: We si ndio umemdisapaisha, sijapenda🤨 Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo Click to expand... 😂😂😂 kazidi ukorofi nae Kama vipi tuchonge na waajiri, wAwe wanatupa hela mkononi
Lenie said: We si ndio umemdisapaisha, sijapenda🤨 Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo Click to expand... 😂😂😂 kazidi ukorofi nae Kama vipi tuchonge na waajiri, wAwe wanatupa hela mkononi
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 18, 2022 #253,337 Depal said: 😂😂😂 kazidi ukorofi nae Kama vipi tuchonge na waajiri, wAwe wanatupa hela mkononi Click to expand... Lakini ana faida, ona sasa tunalia tozo zimeongezeka, akija saivi usirudie hyo tabia 🤣🤣🤣 Jinsi zitakavyoisha kesho yake maana vishawishi kama vyote hela ukiwa umeishika. Bora ikiwa mbali huko uvivu kuifata
Depal said: 😂😂😂 kazidi ukorofi nae Kama vipi tuchonge na waajiri, wAwe wanatupa hela mkononi Click to expand... Lakini ana faida, ona sasa tunalia tozo zimeongezeka, akija saivi usirudie hyo tabia 🤣🤣🤣 Jinsi zitakavyoisha kesho yake maana vishawishi kama vyote hela ukiwa umeishika. Bora ikiwa mbali huko uvivu kuifata
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,307 Reaction score 32,791 Aug 18, 2022 #253,338 Naanza na kufuta app nafata hela zangu bank natunza kwenye ndoo
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,307 Reaction score 32,791 Aug 18, 2022 #253,339 sophy27 said: Henna Kucha Sasanifundisheni kufuga kidogo looh Click to expand... Una kucha nzuri kama za CRDB
sophy27 said: Henna Kucha Sasanifundisheni kufuga kidogo looh Click to expand... Una kucha nzuri kama za CRDB
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,307 Reaction score 32,791 Aug 18, 2022 #253,340 Mjep said: Selfika na #tigo# Click to expand... Kumbe kulikuwa na vocha jaman